Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Mwanzoni nilidhani ni stori ya kutunga, dah! Amefikia hapa? Hii hatari sana. Wanasiasa wengine jifunzeni. Msitegemee tu mshahara na pia usimtukane aliyekubeba.
 
Wewe ni mgonjwa wa akili hivi unafikiria wabunge wote mishahara wanapata wapi na posho kama sio pesa za watanzania wote walipa kodi?ulitaka nchi iwe na kiwa nda cha fedha?
Wewe ni mgonjwa wa akili hivi unafikiria wabunge wote mishahara wanapata wapi na posho kama sio pesa za watanzania wote walipa kodi?ulitaka nchi iwe na kiwa nda cha fedha?
Mungu amsaidie jamani anaedheheka baba watu nchi za jirani
 
Na tutachanga kiroho safi na hatutochoka kuchangia, waliokwapua trillion 2 sio zao ni kodi zetu so hata Lisu tutamchangia bila kuchoka, tena yeye atakuwa anapata za halali kabisa.
Zile za tigo pesa, mpesa na airtel money kwenda kuchangia chadema zimefika kiasi gani mkuu.
 
Jiwe na genge lake waliomfanyia Lisu hivyo
Unajiropokea tu ukiitwa utatoa ushahidi?ndio maana nyie mazwazwa mnaropoka halafu mkipelekwa mahakamani ushahidi hakuna mnabakia maabusu halafu manadai uonevu ujinga huo.unapoongea uwe na ushahidi
 
Utaziulizia sana mwaka huu
Kamanda lissu akupe somo pia wewe, usimtukane aliyekubeba.
Hao wachangiaji, wanaweza mchqngia mara moja, the rest wakaanza kumsema na kumkimbia. Jifunze somi hapo.
Pole kwake kamanda lissu.
 
Unajiropokea tu ukiitwa utatoa ushahidi?ndio maana nyie mazwazwa mnaropoka halafu mkipelekwa mahakamani ushahidi hakuna mnabakia maabusu halafu manadai uonevu ujinga huo.unapoongea uwe na ushahidi

Ww utakuwa ni hanithi fulani, huko mahakamani twende ww ukawe mlalamikaji kisha umuonyeshe huyo jiwe ni nani.
 
Wanafanya makosa sana kumnyima mtu mshahara wake, viongozi wajue nao ni binadamu hayo madaraka yanapita tu, huyu mtu ameumizwa, ana familia, hata kama unamchukia si vizuri kumnyima mshahara wake. Just because you have the power to do so.
 
Mwanzoni nilidhani ni stori ya kutunga, dah! Amefikia hapa? Hii hatari sana. Wanasiasa wengine jifunzeni. Msitegemee tu mshahara na pia usimtukane aliyekubeba.
Mshahara ni haki ya lissu kama mbunge, kitendo cha ndugai kutishia kusitisha mshahara wake ni kuvunja katiba.any way tutamchangia.
 
Wewe ni mgonjwa wa akili hivi unafikiria wabunge wote mishahara wanapata wapi na posho kama sio pesa za watanzania wote walipa kodi?ulitaka nchi iwe na kiwa nda cha fedha?

UMESOMA ULICHOKIANDIKA?......,Nakushauri urudi DARASANI.
 
Makubwa haya huyu Lissu anawataka Wafadhili wasitupe misaada wakati huo huo na yeye anaomba Msaada? Hii ni tabia ya UBINAFSI.
Pathetic!!!!!
Wakati was utawala was wadhalimu wa makaburu, Tanzania ilikuwa msari was mbele kuomba jumuia ya kimataifa iinyime misaada S.Africa. He hapa Tanzania ilikuwa haiipendi S. Africa?
 
Back
Top Bottom