Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Lissu huyu ndiye anaomba misaada apate fedha ya kula na ya kuwasomeshea watoto,tena kwa mabwana zake.mhurumieni Rais wenu wa 2020, leo hii anaomba misaada hata kabla hajachukuwa hiyo form ya Urais,huruma sana

Jisikitikieni nyie wapiga debe mchwara mnalia njaa na mnayempigia debe analia njaa ni hatari sana,mtachangia hadi mtauza vijiko ili mpate fedha za kumchangia Rais wenu ombaomba,Jamani hebu na nyie wapiga debe njaa amkeni usingizini.Fikiria umeoa huna kazi na mke hana kazi hao watoto watakaozaliwa si watakuwa machokoraa/mateja wote?Ndio mfano wa huyo ombaomba anayetarajia kuwa Rais.Rais ombaomba,wananchi wake watakuwa ombaomba wakimbizi


Kama Urais unatafutwa kwa njia hii mmepataaa!!!!!
Mbona nchi yetu ni omba omba miaka nenda rudi?
 
Kia nikipitia comments za watu humu, hususan kuhusu suala la Lissu naishia kuhitimisha kuwa Tz tuna tatizo kubwa la elimu. Ngoja niishie hapa kwa leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Janja yote kumbe serikali ndiye inasaini mshahara wake upite.
Unafurahia anachofanyiwa? Unafurahia yeye kunyimwa mshahara? Kwann watu weusi tuna roho za kinyama sana? Jiulize angekuwa kaka yako ingekuwaje?
 
Lissu huyu ndiye anaomba misaada apate fedha ya kula na ya kuwasomeshea watoto,tena kwa mabwana zake.mhurumieni Rais wenu wa 2020, leo hii anaomba misaada hata kabla hajachukuwa hiyo form ya Urais,huruma sana

Jisikitikieni nyie wapiga debe mchwara mnalia njaa na mnayempigia debe analia njaa ni hatari sana,mtachangia hadi mtauza vijiko ili mpate fedha za kumchangia Rais wenu ombaomba,Jamani hebu na nyie wapiga debe njaa amkeni usingizini.Fikiria umeoa huna kazi na mke hana kazi hao watoto watakaozaliwa si watakuwa machokoraa/mateja wote?Ndio mfano wa huyo ombaomba anayetarajia kuwa Rais.Rais ombaomba,wananchi wake watakuwa ombaomba wakimbizi


Kama Urais unatafutwa kwa njia hii mmepataaa!!!!!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njaa kali, njaa haijawahi kumuacha mtu salama! Kelele nyingi kumbe kichaa ana njaa mpaka matakoni.
 
CCM NI YA MILELE WALAHI
Kwa shetani kufuru rukhsa lakini jehanum iko pale pale inamsubiri. Dua za shetani za kutaka Mh. Lissu afe kama kawaida mbele ya Muumba wa Mbingu na Nchi zikapigwa stop.
 
Wakati was utawala was wadhalimu wa makaburu, Tanzania ilikuwa msari was mbele kuomba jumuia ya kimataifa iinyime misaada S.Africa. He hapa Tanzania ilikuwa haiipendi S. Africa?
Usithubutu kufananisha Harakati za Ubaguzi wa rangi nchini Afrika kusini na Kinachotokea huko Ulaya kwa kupitisha mabakuli (Omba Omba Style).
 
Back
Top Bottom