real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Polisi kanda maalum ya Dar es salaam walikwenda nyumbani kwa Mwanasheria mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu kufanya upekuzi baada ya Tundu kushikiliwa toka jana.
Baada ya kurudishwa kituo kikuu cha Polisi kati Dar es salaam kilichokua kinasubiriwa ni kama Tundu Lissu ataachiwa kwa dhamana ambapo mpaka jioni hii siku ikielekea kuisha CHADEMA imeeleza walipofikia.
Taarifa iliyotolewa na CHADEMA leo imesema >>> “Jitihada za kuhakikisha Lissu anapata haki yake ya kisheria ya dhamana leo zimeshindikana hivyo bado yuko chini ya Polisi kituo kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam”
“Tunasubiri utaratibu mwingine kesho wa ama kupata dhamana akiwa mikononi mwa polisi au kufikishwa Mahakamani” imeeleza taarifa ya CHADEMA
Chanzo: Millard Ayo
Baada ya kurudishwa kituo kikuu cha Polisi kati Dar es salaam kilichokua kinasubiriwa ni kama Tundu Lissu ataachiwa kwa dhamana ambapo mpaka jioni hii siku ikielekea kuisha CHADEMA imeeleza walipofikia.
Taarifa iliyotolewa na CHADEMA leo imesema >>> “Jitihada za kuhakikisha Lissu anapata haki yake ya kisheria ya dhamana leo zimeshindikana hivyo bado yuko chini ya Polisi kituo kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam”
“Tunasubiri utaratibu mwingine kesho wa ama kupata dhamana akiwa mikononi mwa polisi au kufikishwa Mahakamani” imeeleza taarifa ya CHADEMA
Chanzo: Millard Ayo