hawajui nyie mnawajuwa ?Ni kweli, mama Samia hebu washughulikie hawa WAHUNI waliokuwa wanateka teka watu kuwatesa hadi baadhi kuwaua bila kufuata misingi ya sheria za nchi.
Kuna mmoja anaranda-randa mitaani hebu anza naye huyo kwanza ili utupe furaha watanzania ya kufungia mwaka 2021.