Rashda Zunde
Senior Member
- May 28, 2022
- 199
- 231
Naandika Mimi Rashda Zunde
Huyu mama unayemuita na kumtuhumu kama mwizi ukifikishwa mbele ya vyombo vya sheria utaweza kuweka wazi amekuibia nini? Huyu Rais nchi hii unayemuita mwizi mbele ya wananchi wake na dunia imesikia, ukipelekwa mahakamani utaweza kusema ameiibia nini nchi na ushahidi?
Huyu Rais unayemuita mwizi ndiye kiongozi wa juu PEKEE aliyekuja kukupa pole na kukujulia hali pindi ukiwa na hali mbaya nusu kufa, huyu Rais unayemuita mwizi ndiye aliyekufata nje ya nchi na kuongea nawewe, huyu Rais unayemuita mwizi ndiye aliyehakikisha kesi zako na haki zako unazipata. Haya tuonyeshe kitu gani amekuibia au ameiibia nchi yetu Tanzania.
Kwako Tundu, sote tunajua kwamba unaongea hivyo jukwaani tena kwa jazba sababu wewe na wenzako hamuamini kwamba kweli #mamaanafanikisha Tanzania kuzidi kusonga mbelee maana mlidhani hatoweza kuiongoza hii nchi sababu yeye ni MWANAMKE lakini mwanamke huyu ameweza kuliongoza gurudumu la maendeleo na TANZANIA tupo salama.
Lissu tunajua maslahi yenu ndio maana hamuwezi hata kutoa hoja za maana mpka mtukane watu au kusingiza mambo ya uongo, na hii ni kwa sababu tu Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imeamua kuwa ya ukweli, uwazi na inaruhusu maoni. Lakini kumbuka kutumia uhuru wako vizuri usitukane wala kusingizia watu mambo ya uongo.
Rais Samia Suluhu hawezi kutokea kuanza kujibizana nawewe na kukudhihaki kama ambavyo wewe unafanya sababu mama amejaliwa hekima na ana malezi ya pande mbili lakini wewe mjalaani uliyokosa malezi unayaweza yote hayo sababu ndio upo hivyo.
Kuwa makini na unachoongea na kama hakuna cha kusema kaa kimya sio lazima uongee, yakikukuta yakukuta uje uanze kusema unaonewa kumbe ni mdomo wako mchafu.
Unaruhusiwa kukosoa kwa hoja lakini si kwa matusi au kutoa maneno na taarifa za uongo.
LISSU OMBA MSAMAHA KWA MANENO YAKO MACHAU, KAMA MMEISHIWA HOJA ZA KUONGEA KAENI KIMYA.
Huyu mama unayemuita na kumtuhumu kama mwizi ukifikishwa mbele ya vyombo vya sheria utaweza kuweka wazi amekuibia nini? Huyu Rais nchi hii unayemuita mwizi mbele ya wananchi wake na dunia imesikia, ukipelekwa mahakamani utaweza kusema ameiibia nini nchi na ushahidi?
Huyu Rais unayemuita mwizi ndiye kiongozi wa juu PEKEE aliyekuja kukupa pole na kukujulia hali pindi ukiwa na hali mbaya nusu kufa, huyu Rais unayemuita mwizi ndiye aliyekufata nje ya nchi na kuongea nawewe, huyu Rais unayemuita mwizi ndiye aliyehakikisha kesi zako na haki zako unazipata. Haya tuonyeshe kitu gani amekuibia au ameiibia nchi yetu Tanzania.
Kwako Tundu, sote tunajua kwamba unaongea hivyo jukwaani tena kwa jazba sababu wewe na wenzako hamuamini kwamba kweli #mamaanafanikisha Tanzania kuzidi kusonga mbelee maana mlidhani hatoweza kuiongoza hii nchi sababu yeye ni MWANAMKE lakini mwanamke huyu ameweza kuliongoza gurudumu la maendeleo na TANZANIA tupo salama.
Lissu tunajua maslahi yenu ndio maana hamuwezi hata kutoa hoja za maana mpka mtukane watu au kusingiza mambo ya uongo, na hii ni kwa sababu tu Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imeamua kuwa ya ukweli, uwazi na inaruhusu maoni. Lakini kumbuka kutumia uhuru wako vizuri usitukane wala kusingizia watu mambo ya uongo.
Rais Samia Suluhu hawezi kutokea kuanza kujibizana nawewe na kukudhihaki kama ambavyo wewe unafanya sababu mama amejaliwa hekima na ana malezi ya pande mbili lakini wewe mjalaani uliyokosa malezi unayaweza yote hayo sababu ndio upo hivyo.
Kuwa makini na unachoongea na kama hakuna cha kusema kaa kimya sio lazima uongee, yakikukuta yakukuta uje uanze kusema unaonewa kumbe ni mdomo wako mchafu.
Unaruhusiwa kukosoa kwa hoja lakini si kwa matusi au kutoa maneno na taarifa za uongo.
LISSU OMBA MSAMAHA KWA MANENO YAKO MACHAU, KAMA MMEISHIWA HOJA ZA KUONGEA KAENI KIMYA.