KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Huyo mama yako akinyamazia uhalifu ule, yeye pia atakuwa ni sehemu ya uhalifu huo moja kwa moja.Mama yupo busy na mambo ya msingi... Kiki za risasi zishapitwa na wakati tafuteni mpya.
Huyo mama yako akinyamazia uhalifu ule, yeye pia atakuwa ni sehemu ya uhalifu huo moja kwa moja.Mama yupo busy na mambo ya msingi... Kiki za risasi zishapitwa na wakati tafuteni mpya.
Haisaidii kitu.Kenge
Mwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua.
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
Huyo mama yako akinyamazia uhalifu ule, yeye pia atakuwa ni sehemu ya uhalifu huo moja kwa moja.
Alie ua kwa upanga hufa kwa upangaHuyo mama yako akinyamazia uhalifu ule, yeye pia atakuwa ni sehemu ya uhalifu huo moja kwa moja.
Upo shift sikuhizi nani analipa Shaka kawa DcHaisaidii kitu.
mumeo hajamboAache kelele zake zisizo na tija. Anachosha.
Unapiga kelele na wapumbavu wasiojielewa...wewe unaweza usione kuwa ni jambo la msingi, lakini wapo wengine kwao ni jambo la msingi.
..kinachotakiwa ni HAKI itendeke na waliofanya unyama dhidi ya Lissu na waliowatuma wakamatwe na kujibu mashtaka mahakamani.
..fikiria kama wewe ungekuwa ndio Lissu, mwanafamilia, rafiki, wote tunastahili kulindwa na kutendewa haki tunapopatwa na tatizo kama lililomtokea.
Kachukue utafune kama ni utumboBro ungekaa kimya kuliko kupost huu utumbo.
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
Sio kauli yangu ,Hiyo ilikuwa ni kauli ya Rais mnaetaka aunde tume ya kichunguza mauaji ya Lissu.Askari wa CCM? U mzima kweli wewe! Hata hivyo nakuhakikishia kwamba kama CCM kweli wanao askari wao, haitakuwa ajabu kummiminia mtu risasi hata mia na wasifanikiwe kumuua. Madarakani amekaa miaka karibia sitini lakini hawajawahi kufanikiwa katika malengo yao ya kuikwamua nchi katika umasikini.
Mwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua.
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
Kama mnataka hii Nchi iwe kama Somalia tutafika bila wasiwasi.Lini hiyo? Hivi mmesahau kuwa wakati wa kampeni Mama yako aliwajibu kwa kuwambia kuwa, hakuna askari wa Serikali ya CCM anaeweza kukosa risasi zaidi ya tatu na akaendelea kubaki kazini?
Endeleeni kujitia moyo sasa, sisi tunawashauri vizuri kabisa kwamba kiki ya Risasi kwasasa haina nguvu tena, badilisheni gia.
Hahahaaaa..! We keyboard warrior acha kuchekesha watu hapa, wakuifikisha hii nchi katika level za somalia sio nyinyi ambao mara kadhaa mmeshindwa kuingia road hata baada ya kuhamasishwa na viongozi wa magenge yenu, labda kama unamaanisha kuna nchi ya kusadikika.Kama mnataka hii Nchi iwe kama Somalia tutafika bila wasiwasi.
Unapiga kelele na wapumbavu wasiojielewa.
wewe mwenyewe unawajuwa hutaki kuwataja dreva umemficha huko unataka watu wapige ramli kuwajuwa? wewe ulidhurumu watu wakakufanya hivyo unakuja kubebesha watu mizigoi ya ujinga wako?Mwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua.
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
====
View attachment 1825167
View attachment 1825169