Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,727
Hiyo huwa ni chiziMkuu upo sawa?
Hiyo huwa ni chiziMkuu upo sawa?
Pamoja na kazi nyingi zinazomkabili, bando unataka aunde tume ya kuchunguza ushubwada?..Mama aunde Tume Huru ya Uchunguzi ikate mzizi wa fitina kuhusu nani alitaka kumuua Tundu Lissu.
..asante sana.
..binafsi siwaelewi kabisa wanaopinga waliomshambulia Lissu kukamatwa.
..kikundi cha namna hiyo kinaweza kutumika kushambulia Mtanzania mwingine.
..kwenye tukio la Lissu Watz tunatakiwa tuonyeshe UMOJA kwa kushinikiza uchunguzi ufanyike na wahusika wafikishwe mahakamani.
Kwakua hajafa, inatakiwa awepo, acha kuuliza maswali ya kusadikika.Dereva wa Lissu angekufa hao waliomshambulia wasingekamatwa ?
Kwa hiyo hii kauli aliyotoa ndio final and conclussive?Pamoja na kazi nyingi zinazomkabili, bando unataka aunde tume ya kuchunguza ushubwada?
Sio yeye aliyewahi kuwaambia kuwa "askari wa CCM aliyepikwa akapikika hawezi piga risasi Zaid ya tatu kisha mtu apone?"
Lini hiyo? Hivi mmesahau kuwa wakati wa kampeni Mama yako aliwajibu kwa kuwambia kuwa, hakuna askari wa Serikali ya CCM anaeweza kukosa risasi zaidi ya tatu na akaendelea kubaki kazini?Siku Wale Interahamwe wanapandishwa Kizimbani halafu Lissu analipwa stahiki zake sijui utafura upasuke.
Kimsingi kila mmoja anafurahia lile linaloupendeza moyo wake, ndio maana wengine walifurahia Magufuli kufariki kiasi cha kumsema vibaya na wengine walihuzunika, leo hii unawezaje kuwafanya watu wote wampende lissu? Wengine watafurahi wakisiki Lissu kafa huko aliko.Hivi mpaka sasa kuna mtu Mtanzania mwenye akili timamu bado anashabikia binadamu mwenzie apigwe risasi kwa sababu tu ya maneno yake kwenye siasa za upinzani kisha Serikali iliyopo kwenye madaraka ikae kimyaa na bado ikajiita ni Serikali? Kisha watu wanataka wasome wawaeleze kwa nini Waafrika hatuendelei!? Ni wazi hatuendelei kwa sababu vipaumbele vyetu havina mantiki. Tukiuana kwa sababu ya upinzani ina maana hakuna kukosoana; hapo maendeleo yatakujaje ikiwa kila zuzu akisema lazima akubalike? Huu ndiyo mtihani wa Rais aliyeko madarakani, kuwasaka na kuwafikisha mahakamani hao wauaji. Wanaoshabikia mauaji ya kisiasa wapimwe akili zao!
Huenda isiwe final and conclusive, ila inakupatia picha halisi ya mtazamo wa Rais juu ya hilo swala.Kwa hiyo hii kauli aliyotoa ndio final and conclussive?
Hii taarifa umeipata wakati akiwa anakuhemea mgongoni? Kaa utulie utuletee habari kamiliMwanasheria nguli amekuwa mbogo na kutaka watu kutozua uongo kuwa hamkosoi mama Samia kuwa anakubaliana nae. Bali ametaka watu wamshauri ili waliompiga risasi wakamatwe na kuchukuliwa hatua.
Pia ndugu Lissu amedai kuwa kuliko kuzua uongo bora wamshauri mama Samia ili yeye alipwe haki zake alizoporwa na utawala CCM chini ya hayati JPM.
Lissu amekuwa mbogo baada ya watu wasio wema kuzua kuwa anamsifia mama Samia kwa ukarimu alionyesha baada ya kumtembelea hospitalini huko Nairobi Kenya.
Pamoja na kazi nyingi zinazomkabili, bando unataka aunde tume ya kuchunguza ushubwada?
Sio yeye aliyewahi kuwaambia kuwa "askari wa CCM aliyepikwa akapikika hawezi piga risasi Zaid ya tatu kisha mtu apone?"
Mkuu umefafanua vyema. Asipoelewa basi anamatatizo..kuunda tume ya uchunguzi inaweza kuwa ni sehemu ya kazi nyingi alizonazo raisi.
..ni kweli alisema hivyo wakati wa kampeni. Na ni kweli Rais Samia alipokuwa Nairobi alimuona Lissu hospitalini na alionyesha kuguswa na kilichomtokea.
Lini hiyo? Hivi mmesahau kuwa wakati wa kampeni Mama yako aliwajibu kwa kuwambia kuwa, hakuna askari wa Serikali ya CCM anaeweza kukosa risasi zaidi ya tatu na akaendelea kubaki kazini?
Endeleeni kujitia moyo sasa, sisi tunawashauri vizuri kabisa kwamba kiki ya Risasi kwasasa haina nguvu tena, badilisheni gia.
Mtu mwenyewe wa kumuundia tume anazurura tu huko ulaya ni wakumpuuza tu abwabwaje anavyoweza.
Kwani yeye Lissu ana nini cha ajabu au umuhimu gani kiasi kwamba hawezi kumsifia mhe Rais, au kumsifia ionekane ni habari???Mbona wanazua uongo kuwa anamsifia mama? Waliomshambulia walishakamtwa?
KengeAache kelele zake zisizo na tija. Anachosha.
Askari wa CCM? U mzima kweli wewe! Hata hivyo nakuhakikishia kwamba kama CCM kweli wanao askari wao, haitakuwa ajabu kummiminia mtu risasi hata mia na wasifanikiwe kumuua. Madarakani amekaa miaka karibia sitini lakini hawajawahi kufanikiwa katika malengo yao ya kuikwamua nchi katika umasikini.Sio yeye aliyewahi kuwaambia kuwa "askari wa CCM aliyepikwa akapikika hawezi piga risasi Zaid ya tatu kisha mtu apone?"
Ila binafsi nashauri tume hiyo hiyo isiishie hapo bali iuchunguze na ule mguu wa mbowe ili ikibainika kuwa alizusha huku akijua ni faru John akamatwe na kuwekwa kizuizini..Mama aunde Tume Huru ya Uchunguzi ikate mzizi wa fitina kuhusu nani alitaka kumuua Tundu Lissu.