Tundu Lissu acha utoto, jaribu kuvaa viatu vya Mandela na Martin Luther King

Ndio amefika tu na amechoka kwa safari ndefu bado hajaongea lolote kubwa tumwache ajipange kuna mengi yanakuja.
Kwa hotuba ya nusu saa bila kutaja msamaha, umoja na kero za watu wengine. NI ubinafsi uliopitiliza. Na anahasira sana
 
Uchumi wenyewe upo wap ni danganya toto hapo mabeberu yana set gap tu tujione tupo sehemu flani na kutuweka kwenye 18 zao tukiingia king tu tunakuwa kama Zimbabwe

We huoni kuwa uchumi wa kati wa chini kulivyoshangiliwa na watawala ndivyo mabepari walitaka iwe hivyo, lkn amini nakuambia wana ajenda yao sio bure time will tell
Walipogeuka kuwa waimba pambio za kusifu na kuabudu Jiwe, wakaacha kutafuta maarifa! Kwa hiyo ujinga walionao ni wa kiwango cha SGR.
 
Baada ya kutua nchini umeongea vitu vingi Sana. Lakini vya habari vimekosa chochote Cha kusimulia kwenye alichoutubia zaidi ya kuripoti umekuja tu.

Mandela baada ya Mateso yote jela, baridi, fimbo na minyororo alipotoka tu aliendelea kuhubiri Amani, umoja na kuaminiana Kati ya watesi wake Wazungu. Umoja na msamaha utakujenga Sana bro acha utoto kabisa. Nazani angeanza kutaja majina ya waliouliwa na makaburu asingemaliza vya kuongea. Kama angesimulia Mateso ya jela sijui angesema vitu gani.

Katikati ya ubaguzi, Mateso na shida kwa jamii ya weusi martini alihubiri upendo, umoja na msamaha. Kudai haki bila kuhubiri chuki zidi ya watesi wake ndio njia pekee ya Mungu kumuinua mja wake. Ukifeli hapo Mungu ashindwi kukuacha upotee kabisa.

Sijapenda kabisa ulichokisema leo. NI chuki,Ujinga na Nini sijui.

Tundu Kama ukizunguka kuhubiri tu siasa za chuki, uchonganishi na uzandiki na kusaahau kuangalia msoto walinao wakulima na wafanyakazi na kufanya tafiti na kuja na Majibu ya kero zao.

Tundu Kama utahubiri muda wote vidonda na makovu yasitibika tu habari za saa nane na gwanda tu na ukaacha habari za korosho, mpunga, pamba ,buni Basi unacho Cha kujibu juu ya Mungu. Utakuwa mbinafsi na unataka uraisi kwaajili ya kulipiza kisasi. Huna la kutufanyia kwenye uchumi wetu, huna la kuwafanyia wakulima wetu. Huna la kuwafanyia wafanyakazi wetu. NI visasi tu. Hutajenga utavuruga nchi na kutuacha kwenye chuki Kati ya CCM na upinzani.

Utakuwa unatofautiana Nini na watesi wako. Mandela alisema ukitaka kuwa kiongozi Cha kwanza Zuia chuki na hasira. Chuki na hasira huzuia uwezo wa kufikiria.


Najua uliteseka, najua unamaumivu Ila hutakiwi kutugawa Tena. Acha kauli za masisiemu. Ubiri upendo, msamaha na uoneshe ukomavu.

Watanzania wanamengi ya kusemewa. Usiwe mbinafsi kabisa. Utapata kura za kutosha ukisimama na hoja za kutujenga na so kutugawa.

Hivi jeshi litakuamini vipi kwa mitazamo hii. Usalama watakuamini vipi. Weka njia ya msamaha na malidhiano acha utoto kabisa. Ndio maono haya uliyokuja nayo.

Mazao ya Pamba,. Alizeti, tumbaku na kahawa za korosho, Yana hoja nyingi sana. Fanya utafiti mje na suluhu. Watumishi Wana yao mengi.
Jenga Sera.
Usikubali kuharibu. Ongelea shida za majolity. Usiue malengo yako na taifa kwa hasira na chuki Kama Patrice Lumuba.

Patrice Lumumba baada ya CONGO DRC kupewa Uhuru alipewa nafasi ya kutoa hotuba. Hotuba yake ilikuwa yakijinga Sana Kama yako ya Jana. Aliwatusi watesi wake,Hakuhubiri msamaha ata kidogo. Alishindwa kutambua hata kidogo mbeligiji alichokiacha Kongo. Akataka kufanya visasi na chuki.kilichotokea baada ya hotuba yake NI machafuko na vurugu. Hotuba yake Kama ilivyo ya lissu ya Jana ilishangiliwa na wananchi wengi kwasababu ya umbumbu wao. Kwa hotuba ya Jana inahitaji kushinda kwa asilimia zaidi ya 80 labda ndio upewe nchi. Nani amkabidhi Rungu adui. Hotuba ya Patrice Lumumba ilikuwa ndio kifo chake, hotuba ya Patrice Lumumba iliicha Kongo kwenye Vita na machafuko Hadi leo. Hotuba ya Lumumba ndio sababu ya wazungu kutuona hatuwezi kujitawala.

Zuia chuki na visasi. Hubiri upendo na umoja. Nazani Mungu na akubarik I.
Hatokusikiliza kwa sababu bichwa lake ni halina akili. Macho yake nanaona position moja tu ya Uraisi ambayo kwa kweli uwezo wake ni mdogo mnoo hata ule wa TFF hauwezi. Atakuja kuamka siku zishayeya. Wanasubiri waje wadanganye wameibiwa kura ilihali hawana wa kuwaweka hapo wanapopataka na hawana uwezo napo pia.
 
Baada ya kutua nchini umeongea vitu vingi Sana. Lakini vya habari vimekosa chochote Cha kusimulia kwenye alichoutubia zaidi ya kuripoti umekuja tu.

Mandela baada ya Mateso yote jela, baridi, fimbo na minyororo alipotoka tu aliendelea kuhubiri Amani, umoja na kuaminiana Kati ya watesi wake Wazungu. Umoja na msamaha utakujenga Sana bro acha utoto kabisa. Nazani angeanza kutaja majina ya waliouliwa na makaburu asingemaliza vya kuongea. Kama angesimulia Mateso ya jela sijui angesema vitu gani.

Katikati ya ubaguzi, Mateso na shida kwa jamii ya weusi martini alihubiri upendo, umoja na msamaha. Kudai haki bila kuhubiri chuki zidi ya watesi wake ndio njia pekee ya Mungu kumuinua mja wake. Ukifeli hapo Mungu ashindwi kukuacha upotee kabisa.

Sijapenda kabisa ulichokisema leo. NI chuki,Ujinga na Nini sijui.

Tundu Kama ukizunguka kuhubiri tu siasa za chuki, uchonganishi na uzandiki na kusaahau kuangalia msoto walinao wakulima na wafanyakazi na kufanya tafiti na kuja na Majibu ya kero zao.

Tundu Kama utahubiri muda wote vidonda na makovu yasitibika tu habari za saa nane na gwanda tu na ukaacha habari za korosho, mpunga, pamba ,buni Basi unacho Cha kujibu juu ya Mungu. Utakuwa mbinafsi na unataka uraisi kwaajili ya kulipiza kisasi. Huna la kutufanyia kwenye uchumi wetu, huna la kuwafanyia wakulima wetu. Huna la kuwafanyia wafanyakazi wetu. NI visasi tu. Hutajenga utavuruga nchi na kutuacha kwenye chuki Kati ya CCM na upinzani.

Utakuwa unatofautiana Nini na watesi wako. Mandela alisema ukitaka kuwa kiongozi Cha kwanza Zuia chuki na hasira. Chuki na hasira huzuia uwezo wa kufikiria.


Najua uliteseka, najua unamaumivu Ila hutakiwi kutugawa Tena. Acha kauli za masisiemu. Ubiri upendo, msamaha na uoneshe ukomavu.

Watanzania wanamengi ya kusemewa. Usiwe mbinafsi kabisa. Utapata kura za kutosha ukisimama na hoja za kutujenga na so kutugawa.

Hivi jeshi litakuamini vipi kwa mitazamo hii. Usalama watakuamini vipi. Weka njia ya msamaha na malidhiano acha utoto kabisa. Ndio maono haya uliyokuja nayo.

Mazao ya Pamba,. Alizeti, tumbaku na kahawa za korosho, Yana hoja nyingi sana. Fanya utafiti mje na suluhu. Watumishi Wana yao mengi.
Jenga Sera.
Usikubali kuharibu. Ongelea shida za majolity. Usiue malengo yako na taifa kwa hasira na chuki Kama Patrice Lumuba.

Patrice Lumumba baada ya CONGO DRC kupewa Uhuru alipewa nafasi ya kutoa hotuba. Hotuba yake ilikuwa yakijinga Sana Kama yako ya Jana. Aliwatusi watesi wake,Hakuhubiri msamaha ata kidogo. Alishindwa kutambua hata kidogo mbeligiji alichokiacha Kongo. Akataka kufanya visasi na chuki.kilichotokea baada ya hotuba yake NI machafuko na vurugu. Hotuba yake Kama ilivyo ya lissu ya Jana ilishangiliwa na wananchi wengi kwasababu ya umbumbu wao. Kwa hotuba ya Jana inahitaji kushinda kwa asilimia zaidi ya 80 labda ndio upewe nchi. Nani amkabidhi Rungu adui. Hotuba ya Patrice Lumumba ilikuwa ndio kifo chake, hotuba ya Patrice Lumumba iliicha Kongo kwenye Vita na machafuko Hadi leo. Hotuba ya Lumumba ndio sababu ya wazungu kutuona hatuwezi kujitawala.

Zuia chuki na visasi. Hubiri upendo na umoja. Nazani Mungu na akubarik I.
Wapiga kura walio wengi hawaja soma km wewe na hawana mtizamo kama wa kwako 'they have been deprieved in many things, looking for the last resort'
 
Lissu kuyasema maswahibu yaliyomkuta ni haki yake ... hakuna wa kumzuia.. Risasi 16 mwilini kupona kwake ni bahati tu, hata wewe mtoa mada unashangaa kapona pona kiaje... watu walishapanga hata pa kwenda kuzikiwa !!!

Sasa wengi humu hawajawahi kuishika wala kuitumia SMG achilia mbali mlio wake risasi ikiachiwa - walioishika na walioitumia wanajua mziki wake upoje... risasi moja tu ilielekezwa kwako basi lazima haja ndogo na kubwa ikutoke bila mpangilio... acha kabisa tema mate chini..!!

Sasa mwenzako kamiminiwa risasi 32, kati ya hizo 16 zimempata - kaongezewa damu 3/4 ya damu yake ya asili - unataka akae kimya, ili iweje?
 
Alipoanza kuhutubia alisema. Nanukuu "hiki ni kipindi cha maneno mengi, lakini mimi nitaongea machache".


Ukiitazama hii kauli unaona kabisa lisdu kapangilia mfumo wa speech zake. Leo kawashuhudia watanzania yaliyomkuta na kumshukuru Mungu kwa muujiza wake ndio maana amesisitiza sana "Mungu ni mwema".

Wewe leo hii unamdharau na kumtaka ajikite kwenye hotuba za maendeleo.

Huo sio muda wake, ataongea sana mbeleni. Punguzeni jaziba jamani. Hamna hata chembe za upendo mpaka mmekalia kumsema jamaa.

Najua mmeumia sana kuona mategemeo yenu yameenda kinyume. Mmliwaaminusha wengi kwamba CHADEMA imekufa. Leo mmeona. Just imagine polisi wasingetoa tamko la kuzuia watakaompokea Lissu
Huwezi kuhutubia bila kujipanga jana ilikuwa ni salumu na kufurahia kurudi nyumbani niseme tu binadamu ana akili sana japo tulio wengi ni wavivu wa kufikiri 'we do not exercise much of our brains'
 
Baada ya kutua nchini umeongea vitu vingi Sana. Lakini vya habari vimekosa chochote Cha kusimulia kwenye alichoutubia zaidi ya kuripoti umekuja tu.

Mandela baada ya Mateso yote jela, baridi, fimbo na minyororo alipotoka tu aliendelea kuhubiri Amani, umoja na kuaminiana Kati ya watesi wake Wazungu. Umoja na msamaha utakujenga Sana bro acha utoto kabisa. Nazani angeanza kutaja majina ya waliouliwa na makaburu asingemaliza vya kuongea. Kama angesimulia Mateso ya jela sijui angesema vitu gani.

Katikati ya ubaguzi, Mateso na shida kwa jamii ya weusi martini alihubiri upendo, umoja na msamaha. Kudai haki bila kuhubiri chuki zidi ya watesi wake ndio njia pekee ya Mungu kumuinua mja wake. Ukifeli hapo Mungu ashindwi kukuacha upotee kabisa.

Sijapenda kabisa ulichokisema leo. NI chuki,Ujinga na Nini sijui.

Tundu Kama ukizunguka kuhubiri tu siasa za chuki, uchonganishi na uzandiki na kusaahau kuangalia msoto walinao wakulima na wafanyakazi na kufanya tafiti na kuja na Majibu ya kero zao.

Tundu Kama utahubiri muda wote vidonda na makovu yasitibika tu habari za saa nane na gwanda tu na ukaacha habari za korosho, mpunga, pamba ,buni Basi unacho Cha kujibu juu ya Mungu. Utakuwa mbinafsi na unataka uraisi kwaajili ya kulipiza kisasi. Huna la kutufanyia kwenye uchumi wetu, huna la kuwafanyia wakulima wetu. Huna la kuwafanyia wafanyakazi wetu. NI visasi tu. Hutajenga utavuruga nchi na kutuacha kwenye chuki Kati ya CCM na upinzani.

Utakuwa unatofautiana Nini na watesi wako. Mandela alisema ukitaka kuwa kiongozi Cha kwanza Zuia chuki na hasira. Chuki na hasira huzuia uwezo wa kufikiria.


Najua uliteseka, najua unamaumivu Ila hutakiwi kutugawa Tena. Acha kauli za masisiemu. Ubiri upendo, msamaha na uoneshe ukomavu.

Watanzania wanamengi ya kusemewa. Usiwe mbinafsi kabisa. Utapata kura za kutosha ukisimama na hoja za kutujenga na so kutugawa.

Hivi jeshi litakuamini vipi kwa mitazamo hii. Usalama watakuamini vipi. Weka njia ya msamaha na malidhiano acha utoto kabisa. Ndio maono haya uliyokuja nayo.

Mazao ya Pamba,. Alizeti, tumbaku na kahawa za korosho, Yana hoja nyingi sana. Fanya utafiti mje na suluhu. Watumishi Wana yao mengi.
Jenga Sera.
Usikubali kuharibu. Ongelea shida za majolity. Usiue malengo yako na taifa kwa hasira na chuki Kama Patrice Lumuba.

Patrice Lumumba baada ya CONGO DRC kupewa Uhuru alipewa nafasi ya kutoa hotuba. Hotuba yake ilikuwa yakijinga Sana Kama yako ya Jana. Aliwatusi watesi wake,Hakuhubiri msamaha ata kidogo. Alishindwa kutambua hata kidogo mbeligiji alichokiacha Kongo. Akataka kufanya visasi na chuki.kilichotokea baada ya hotuba yake NI machafuko na vurugu. Hotuba yake Kama ilivyo ya lissu ya Jana ilishangiliwa na wananchi wengi kwasababu ya umbumbu wao. Kwa hotuba ya Jana inahitaji kushinda kwa asilimia zaidi ya 80 labda ndio upewe nchi. Nani amkabidhi Rungu adui. Hotuba ya Patrice Lumumba ilikuwa ndio kifo chake, hotuba ya Patrice Lumumba iliicha Kongo kwenye Vita na machafuko Hadi leo. Hotuba ya Lumumba ndio sababu ya wazungu kutuona hatuwezi kujitawala.

Zuia chuki na visasi. Hubiri upendo na umoja. Nazani Mungu na akubarik I.
Ulikuwa wapi kuhubiri amani pindi alipopatwa na matatizo!? Ulikuwa wapi wabunge walipokuwa wanashangilia Mbunge mmoja anyongwe!? Hivi huu uchambuzi wenu umekuja baada ya yeye kutua Tanzania 🇹🇿?.
 
Mandela alikuwa traitor tu..kwa nini alijipeleka jera wakati Mugabe na Nyerere walimuambia wapigane msituni kama Samora...Mandela ni Hollywood figure
 
Baada ya kutua nchini umeongea vitu vingi Sana. Lakini vya habari vimekosa chochote Cha kusimulia kwenye alichoutubia zaidi ya kuripoti umekuja tu.

Mandela baada ya Mateso yote jela, baridi, fimbo na minyororo alipotoka tu aliendelea kuhubiri Amani, umoja na kuaminiana Kati ya watesi wake Wazungu. Umoja na msamaha utakujenga Sana bro acha utoto kabisa. Nazani angeanza kutaja majina ya waliouliwa na makaburu asingemaliza vya kuongea. Kama angesimulia Mateso ya jela sijui angesema vitu gani.

Katikati ya ubaguzi, Mateso na shida kwa jamii ya weusi martini alihubiri upendo, umoja na msamaha. Kudai haki bila kuhubiri chuki zidi ya watesi wake ndio njia pekee ya Mungu kumuinua mja wake. Ukifeli hapo Mungu ashindwi kukuacha upotee kabisa.

Sijapenda kabisa ulichokisema leo. NI chuki,Ujinga na Nini sijui.

Tundu Kama ukizunguka kuhubiri tu siasa za chuki, uchonganishi na uzandiki na kusaahau kuangalia msoto walinao wakulima na wafanyakazi na kufanya tafiti na kuja na Majibu ya kero zao.

Tundu Kama utahubiri muda wote vidonda na makovu yasitibika tu habari za saa nane na gwanda tu na ukaacha habari za korosho, mpunga, pamba ,buni Basi unacho Cha kujibu juu ya Mungu. Utakuwa mbinafsi na unataka uraisi kwaajili ya kulipiza kisasi. Huna la kutufanyia kwenye uchumi wetu, huna la kuwafanyia wakulima wetu. Huna la kuwafanyia wafanyakazi wetu. NI visasi tu. Hutajenga utavuruga nchi na kutuacha kwenye chuki Kati ya CCM na upinzani.

Utakuwa unatofautiana Nini na watesi wako. Mandela alisema ukitaka kuwa kiongozi Cha kwanza Zuia chuki na hasira. Chuki na hasira huzuia uwezo wa kufikiria.


Najua uliteseka, najua unamaumivu Ila hutakiwi kutugawa Tena. Acha kauli za masisiemu. Ubiri upendo, msamaha na uoneshe ukomavu.

Watanzania wanamengi ya kusemewa. Usiwe mbinafsi kabisa. Utapata kura za kutosha ukisimama na hoja za kutujenga na so kutugawa.

Hivi jeshi litakuamini vipi kwa mitazamo hii. Usalama watakuamini vipi. Weka njia ya msamaha na malidhiano acha utoto kabisa. Ndio maono haya uliyokuja nayo.

Mazao ya Pamba,. Alizeti, tumbaku na kahawa za korosho, Yana hoja nyingi sana. Fanya utafiti mje na suluhu. Watumishi Wana yao mengi.
Jenga Sera.
Usikubali kuharibu. Ongelea shida za majolity. Usiue malengo yako na taifa kwa hasira na chuki Kama Patrice Lumuba.

Patrice Lumumba baada ya CONGO DRC kupewa Uhuru alipewa nafasi ya kutoa hotuba. Hotuba yake ilikuwa yakijinga Sana Kama yako ya Jana. Aliwatusi watesi wake,Hakuhubiri msamaha ata kidogo. Alishindwa kutambua hata kidogo mbeligiji alichokiacha Kongo. Akataka kufanya visasi na chuki.kilichotokea baada ya hotuba yake NI machafuko na vurugu. Hotuba yake Kama ilivyo ya lissu ya Jana ilishangiliwa na wananchi wengi kwasababu ya umbumbu wao. Kwa hotuba ya Jana inahitaji kushinda kwa asilimia zaidi ya 80 labda ndio upewe nchi. Nani amkabidhi Rungu adui. Hotuba ya Patrice Lumumba ilikuwa ndio kifo chake, hotuba ya Patrice Lumumba iliicha Kongo kwenye Vita na machafuko Hadi leo. Hotuba ya Lumumba ndio sababu ya wazungu kutuona hatuwezi kujitawala.

Zuia chuki na visasi. Hubiri upendo na umoja. Nazani Mungu na akubarik I.
Wewee hapo nakuona umemnunia mama mwenye nyumba wako kwa kukaangiza nyama na wewe choka mbaya!! Huwezi ukaongelea mapatano mtu mwenye roho ya shetani kama wewe!
Mandela na Martin Luther waliwajua watesi wao na walikuwa wazi sana lakini kwa hili jambazi linalosingizia watu wasiojulikana na kuuvaa Uyesu!? Utamsamehe nani sasa!
 
Lissu kuyasema maswahibu yaliyomkuta ni haki yake ... hakuna wa kumzuia.. Risasi 16 mwilini kupona kwake ni bahati tu, hata wewe mtoa mada unashangaa kapona pona kiaje... watu walishapanga hata pa kwenda kuzikiwa !!!

Sasa wengi humu hawajawahi kuishika wala kuitumia SMG achilia mbali mlio wake risasi ikiachiwa - walioishika na walioitumia wanajua mziki wake upoje... risasi moja tu ilielekezwa kwako basi lazima haja ndogo na kubwa ikutoke bila mpangilio... acha kabisa tema mate chini..!!

Sasa mwenzako kamiminiwa risasi 32, kati ya hizo 16 zimempata - kaongezewa damu 3/4 ya damu yake ya asili - unataka akae kimya, ili iweje?
Sijasema asiseme yaliyomkuta. Nachoshauri asimulie ata dakika 5 maswaibu yote. Baada ya hapo labda aweke wazi anazani alikuwa akipigania juu ya Nini kabla ya kupigwa risasi. Baadae Kuonesha ukomavu, utulivu wa Akili na kujiwekea heshima Kama manabii aseme tu nawasamehe waliotaka kuniua. Uwenda hawajui napigania akina Nani. Napigania wanyonge kabisa. Sitakuwa na muda wa kulipiza. Na aelezee focus zake Kama atakuwa Raisi.
 
Good for him, mungu pia kamuacha hai aje ashuhudie kwa macho yake kazi aliyompa Magufuli kuwafanyia watanzania anavyoifanya kwa ufasaha.

Aone nini alikuwa anataka kuvuruga kwa kutumishwa na mabeberu mpaka apatwe na aibu.

Hila yeye story yake tushaisikia atuambie na yeye Mungu kamtuma kuwafanyia nini watanzania zaidi ya kutaka kutukumbushia kilichomkuta.
Agiza nyama choma nusu na ugali nakuja kulipa
 
Back
Top Bottom