Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,480
- 37,756
Binafsi nimeelewa concern yako japo waliocomment baada yako wanajaribu kukulazimisha uwe CCM kama wao, ni kweli hata Mimi sikisikia msamaha wa moja kwa moja toka kwa Lissu kitu ambacho kilikuwa muhimu sana kukiweka katika lugha nyepesi.
Lakini Lissu Jana kaongea mambo mawili makubwa;
1.Anaipenda nchi yake sana, alitamani kuibusu ardhi ya nchi yake akiwa amepiga magoti lakini goti lake moja halikunjiki kabisa
2.Alitambua Taifa liko kwenye msiba mkubwa wa kumpoteza Mwenyekiti mstaafu wa Chama tawala, Rais mstaafu na Amiri jeshi kwa miaka kumi.
3.Alimtambua mkuu wa nchi wa sasa na kumpa heshima yake na pole kwa msiba wa mtagulizi wake.
4.Amewahimiza watanzania kutumia msiba wa Rais wao kuwa wamoja na kuwataka kesho (Leo) wajitokeze uwanja wa Taifa kutoa heshima za mwisho kwa mtiwa mafuta wa nchi.
5.Ameeleza chanzo cha tatizo lake kitu ambacho hata Mandela alikieleza na ndo maana amewataja wahanga wenzie kina Azory Gwanda, Mawazo, Akwilina na Ben kwa uchache.
6.Ameeleza uminywaji wa haki ya kujieleza kama chanzo cha madhila yake. Kwa hili hujatenda haki kufananisha scinerio ya Jana kwa Lissu kuwekewa mike nyingi na uminywaji wa haki ya habari. Hapa umejifanya kipofu lakini hata wewe unajua Uhuru wa habari umetikiswa.
7.Kwa mtu smart Jana haikuwa siku ya kuongelea tatizo la korosho na mishahara ya watumishi, usichanganye mambo muda wake bado.
Lakini Lissu Jana kaongea mambo mawili makubwa;
1.Anaipenda nchi yake sana, alitamani kuibusu ardhi ya nchi yake akiwa amepiga magoti lakini goti lake moja halikunjiki kabisa
2.Alitambua Taifa liko kwenye msiba mkubwa wa kumpoteza Mwenyekiti mstaafu wa Chama tawala, Rais mstaafu na Amiri jeshi kwa miaka kumi.
3.Alimtambua mkuu wa nchi wa sasa na kumpa heshima yake na pole kwa msiba wa mtagulizi wake.
4.Amewahimiza watanzania kutumia msiba wa Rais wao kuwa wamoja na kuwataka kesho (Leo) wajitokeze uwanja wa Taifa kutoa heshima za mwisho kwa mtiwa mafuta wa nchi.
5.Ameeleza chanzo cha tatizo lake kitu ambacho hata Mandela alikieleza na ndo maana amewataja wahanga wenzie kina Azory Gwanda, Mawazo, Akwilina na Ben kwa uchache.
6.Ameeleza uminywaji wa haki ya kujieleza kama chanzo cha madhila yake. Kwa hili hujatenda haki kufananisha scinerio ya Jana kwa Lissu kuwekewa mike nyingi na uminywaji wa haki ya habari. Hapa umejifanya kipofu lakini hata wewe unajua Uhuru wa habari umetikiswa.
7.Kwa mtu smart Jana haikuwa siku ya kuongelea tatizo la korosho na mishahara ya watumishi, usichanganye mambo muda wake bado.