Nashangaa wana haraka kwelihii ilikuwa ni shukrani tu,hotuba bado....huu ni mwaka wa maneno mengi tulieni
William Mshumbusi, kwa ufahamisho, kwa kuweka kumbukumbu sahihi na kwa mkazo wa kihistoria, shujaa Tundu Antiphas Lissu ataingia kwenye historia kama binadamu wa kipekee aliyekutana uso kwa uso na mauti lakini akakataa kuitikia wito wa kifo.Tundu Lissu acha utoto, jaribu kuvaa viatu vya Mandela na Martin Luther King
Wewe ndio msemaji wa Mungu?Katikati ya ubaguzi, Mateso na shida kwa jamii ya weusi martini alihubiri upendo, umoja na msamaha. Kudai haki bila kuhubiri chuki zidi ya watesi wake ndio njia pekee ya Mungu kumuinua mja wake. Ukifeli hapo Mungu ashindwi kukuacha upotee kabisa.
Tunajua kuwa waliomtesa na kumfunga Mandela ni serikali ya makaburu, ndio maana hakukuwa haswa mtu wa kumchukulia hatua. Hivyo kwa mfano wako, wataka kutuambia kuwa waliohusika kumpiga TL risasi ni serikali ya Tanzania?Wahusika waliomfunga na kumtesa Mandela walishugulikiwa!??. Njia ya kuiponya nchi na nafsi NI msamaha na visasi havina nafasi kabisa. Atawasha Moto usiozimika
Mkuu muda bado na hajapitishwa kuwa mgombea, punguza munkariThat's why nimehoji anatofauti gani ya kifikra na anaowaita watesi wake!?
Tatizo ni kwamba tumeishikia sana hiyo story.
Mtaongea Sana but IKULU mtapasikia tu😄Nguruwe wa Lumumba mnateseka sana kuona Lissu yuko haiView attachment 1519203
Mnajivunia polisi. Bila polisi na tume hamtoboiMtaongea Sana but IKULU mtapasikia tu