Tundu Lissu aanza Ziara nchini Marekani

Tundu Lissu aanza Ziara nchini Marekani

Vipi wale waliokula trillion 1.5 wakataka kumtoa kafara CAG
Wale ni WAPUMBAVU Sana in capital letters....hela imeliwa na kina bashite kwa mambo ya kijinga kabsa ikiwa nipamoja na kununua madiwani na wabunge( kina mnyeti na bashite) wametajilika Sasa hivi
 
Hii ni taarifa ambayo ameitoa yeye mwenyewe , amesema ziara hiyo haina tofauti na ziara zingine zile alizozifanya awali ambapo amedai atakuwa ziarani kwa wiki 2 .

Taarifa hiyo inadokeza kwamba tarehe 7 - 9 ya mwezi huu atakuwa Washington DC , bado haijafahamika rasmi kama atakutana na Rais Trump au la .

Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
Trump anakutana naye kwa mission gani? Do you think mambo ya diplomasia ni rahisi kiasi hicho?
Sisi tunamsubiri September 7th. Mwaka gani?
 
Tunamtakia Kila laheli kwenye ziala yake hiyo, bilashaka akitoka huko atakuja kutulekebishia sipika zetu mbovu sisi wananchi
 
Trump anakutana naye kwa mission gani? Do you think mambo ya diplomasia ni rahisi kiasi hicho?
Sisi tunamsubiri September 7th. Mwaka gani?
Kwenye Uzi huu tumeijua idadi kamili ya wachawi
 
Naomba kujua kosa la T Lisu ni lipi hata ahukumiwe kufa kwa kupigwa risasi nyingi tuu!!
Hiyo roho ya chuki asili yake sio Tz yetu ya amani!!
Jimilikishe kila kitu tuachieni uhai wetu!!
Lisu akisema ukweli mjibuni kwa hoja sio risasi!!
WaTz tuna haki ya kusema uchafu inaofanywa ma watawala.
Jibu kwa hoja sio risasi!!
Hawawezi kujibu hoja na hawana
 
Lissu ni msumbufu zaidi ya kunguni ndani ya sikio...loh

watesi wake lazima washikwe na tumbo LA kuharaaa

simply...unampiga chura teke halafu unakuwa umemuongezea hatua:ni ivyo imekuwa!
 
Mungu gani huyo unayemuomba hapo? Kama unadhani ni Yehova, Mungu aliyeumba mbingu na nchi, basi imekula kwako; Mungu huwa habariki wasaliti.
Mungu huwabariki waliokula pesa za kivuko cha Bagamoyo-Dsm? au mungu huwabariki waliotafuna Tilion 1.5 kisha wakataka kumtoa kafara CAG? Mungu huwabariki waliotafuna bilion 251 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa? Mungu huwabariki waliotafuna chenji ya Rada, chenji Bunge la kati, kiwanda hewa Lindi? Mungu huwabariki waliouza nyumba za Serikali na kujiuzia nyumba kibao kienyeji pasipo kuzingatia Sheria huku zingine wakizigawa kwa hawala ambao hawakuwa watumishi wa umma, ? Kama mungu anaweza kuwabariki CCM kwa hayo ina maana kweli mungu anaishi na kulala Lumumba
 
Kunabs
Kuna siku lekibamia alipost insta kwamba wrote tunamuonga mkono jiwe tumtext kwenye namba take then atuunge grupu LA wasap, kumbe nia yake ni kulipia pesa ya mganga!!
Pia hutumia nyota za watu kufanya ushirikina wake muongope sana Le mutuz popote unapomuona ni mtu hatari kwa ulimwengu wa Dini na kistaarabu
 
Ulishawahi hata kupigwa risasi hata moja maishani mwako? Ni kipi alichokukosea wewe binafsi Tundu Lissu? Au nikipi alicholikosea Taifa Tundu Lissu kupita Rostam,kupita Change,kupita Rugemalira,kupita Patel hawa wote pamoja na Ngurumo aliyempelekea milioni 900 za escrow Ikulu kwa Jakaya mbona wapo salama salimini. Kosa la Tundu Lisu nilipi mpaka astahili kuuwawa kikatili mchana KWEUPE? Na mkapa aliyejimilikisha mgodi wa makaa ya mawe kiwira yeye na familia yake unamchukia Kama Tundu Lissu?
usipende kujibu kila Andiko la Mlemavu wa Akili unapoteza muda.. yeyote anaemdhihaki Lissu kwa kuwa tu ni mpango wa Mungu ujue atakuwa Maiti anaetembea na ipo siku hawa wote wataaibika na siku si nyingi pale ambapo mh Lissu atakapo tawazwa kuwa PR of Tanzania
 
Back
Top Bottom