Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,940
Reaction score
831,467
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.

Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika

Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKE
Tundu_A._M._Lissu.jpg

(7,029) Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu | JamiiForums Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu
 
💥‼️UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️🔥
@TunduALissu ni kiboko yao madhulmat! Walijua wamemfunga mdomo na watamnyanysa ila alitumia fursa mahakamani na wanasheria wake na alipaza sauti kuhusu uminywaji wa haki zake gerezani sasa madhulmat wamepiga U-Turn 🤣 Yamewashuka shuu!
1. Sasa anaweza kukutana na mawakili faragha ana kwa ana japo katika maofisi yao.
2. Anafanya mazoezi katika uwanja mkubwa wa mpira.
3. Anapata huduma za kiroho. Juzi padre George Mathias Syai alimtembelea japo room kwake lakini amepata huduma ya kiroho.
Na bado mapambano ndo kwanza yameanza! 🔥
Dawa ya madhulmat ni kudai haki 👊🏽 piga tu
Na anasema:
"I demanded it, I got it"
"You don't demand it, you don't get it"
Long live TAL
Simba wa nyikani 🦁
#NoReformsNoElection
AFP__20250519__479G4JY__v1__HighRes__TanzaniaPoliticsTrial-1747653119.jpg
 
💥‼️UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️🔥
@TunduALissu ni kiboko yao madhulmat! Walijua wamemfunga mdomo na watamnyanysa ila alitumia fursa mahakamani na wanasheria wake na alipaza sauti kuhusu uminywaji wa haki zake gerezani sasa madhulmat wamepiga U-Turn 🤣 Yamewashuka shuu!
1. Sasa anaweza kukutana na mawakili faragha ana kwa ana japo katika maofisi yao.
2. Anafanya mazoezi katika uwanja mkubwa wa mpira.
3. Anapata huduma za kiroho. Juzi padre George Mathias Syai alimtembelea japo room kwake lakini amepata huduma ya kiroho.
Na bado mapambano ndo kwanza yameanza! 🔥
Dawa ya madhulmat ni kudai haki 👊🏽 piga tu
Na anasema:
"I demanded it, I got it"
"You don't demand it, you don't get it"
Long live TAL
Simba wa nyikani 🦁
#NoReformsNoElection
NRNE
 
💥‼️UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️🔥
@TunduALissu ni kiboko yao madhulmat! Walijua wamemfunga mdomo na watamnyanysa ila alitumia fursa mahakamani na wanasheria wake na alipaza sauti kuhusu uminywaji wa haki zake gerezani sasa madhulmat wamepiga U-Turn 🤣 Yamewashuka shuu!
1. Sasa anaweza kukutana na mawakili faragha ana kwa ana japo katika maofisi yao.
2. Anafanya mazoezi katika uwanja mkubwa wa mpira.
3. Anapata huduma za kiroho. Juzi padre George Mathias Syai alimtembelea japo room kwake lakini amepata huduma ya kiroho.
Na bado mapambano ndo kwanza yameanza! 🔥
Dawa ya madhulmat ni kudai haki 👊🏽 piga tu
Na anasema:
"I demanded it, I got it"
"You don't demand it, you don't get it"
Long live TAL
Simba wa nyikani 🦁
#NoReformsNoElectionView attachment 3381744
ameungama kweli dhambi ya uropokaji na kiburi?
 
Back
Top Bottom