Tunaweza kuwacheka kumbe wanatengeneza hela ndefu

Tunaweza kuwacheka kumbe wanatengeneza hela ndefu

Mna uhakika hii ni Daslam?
Kwa taarifa zilizopo zinaonesha ni Daslamu na hata mawasiliano yao wao walioweka ni hizi namba za mitandao yetu tunayoitumia. Watumiaji, wateja na wazoefu wanaweza toa maelezo ya kina.
 
Wamefundishwa kutumia pesa kwa rafu sana na ndicho kinawafanya wafanye hizo kazi bila kuacha. Ma agent wanao dili nao wanawaonesha viwanja vikali vya kula bata za hela nyingi. Pombe na madawa yenye kuleta starehe kali. Na wanaambiwa ukitaka starehe kama hii uza nyapu. Basi wanaingia mtegoni na hawawezi kuacha.

Aisee ni mbaya sana yani hizo starehe ndio wanapomalizia pesa, washakuwa watumwa jumla
 
kama unaongelea exotic tz, hakuna kitu pale, yale ni maandishi tu ila hali halisi ni tofauti kabisa, nime 'incall' kama watatu mpaka sasa ivi na price zao ni around 70-100k / full night ( saa 2 usiku till mornie) ,

sema tu wako vizuri sana, hawanuki K, huduma ni full package, ku ma classic na wanajielewa
 
Hii imenikumbusha kuna sehemu tulilima Mpunga Sasa Kipindi hicho ndege wakavamia mwenye shamba akaweka walinzi wakalinda wee lakini wakawashindwa ndege wakasema tulipe tj tumeshindwa kuendelea kulinda....mwenye shamba akawaambia vuneni mjilipe huwez amini jinsi ndege wamekulapunga heka sita Mpaka walinzi wanataka hela hawataki mpunga waliopewa wajilipe
Aisee pole sana mkuu,mi kuna mwanangu mmoja alikopa mil 7 akasome masters baadae akaahirisha,akatenga kama mil 4 hivi akaona aipeleke kwny matikiti.

Aisee zao shambani lilikubali balaa kufika sokoni matikiti yamejaa madalali wanazingua jamaa akakomaa kuuza mwenyewe kama siku 3 hivi baadae akalala mbele hata kirikuu aliyokodisha hakuwalipa hela yao akawaachia hayo matikiti ndukiiiiii.

Mwanzo mgumu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninahisi unasemea exotictanzania, wale wanapata lakini siyo ela hiyo kama unavyowaza na rate zao wameweka tu kwa wazungu ila wakikutana na waswahili hata buku 30000 unakula
 
Umetupa faida tuu,..
Hawajaumwa(sidhani kama wana insurance)
Kukimbiwa bila kupewa malipo yao au kulipwa fedha bandia
Gharama ya matunzo yao ya kila siku ili waonekane hothot(saluni,mavazi,chakula,rent)n.kwa


Kwakweli sijui kama kuna faida ya moja kwa moja zaidi ya kupata hela ya kununulia Brazilian hair tuu na Gucci😩😩
 
Masaa 10 kwa siku
Kwa mwezi 10 x20 siku = 200
Kwa mwaka 12x200 = 2400hrs
Khe si balaa hilo si litakuwa handaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Miaka mitano 12000hrs
Halafu astahafu

Bwege unajitokeza kwenda kulipishwa mahari ya milioni 5.
Kwenye harusi unapiga bonge la suti maeeeeee
Na bonge la tabasam
Unajiona wewe ndio weweeee
Umeopoa kifaaaa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka fulani nilienda kutoa ushamba pale sea cliff nimekodi taxi ilionitoa coco beach hadi pale kwa buku nne, saa mbili kwendea tatu usiku hio, kufika pale nje nikakutana na jamaa yangu mmoja ni dereva taxi pale sea cliff, nikasahau kilichonipeleka tukawa kwenye Gari tunapiga stories miaka mingi hatukuwa tumeonana, ghafla ninamuona binti shombe shombe wastani 20 ama 22 hivi anakimbia mbio kutokea kule ndani.

Jamaa yangu akamuuliza “Glory vipi tena”? demu kampa jamaa ki mkoba kidogo cha ngozi kisha akamwambia jamaa yangu “J nihifadhie tutaonana baadae” Fasta akarudi ndani. Jamaa yangu kufungua kimkoba kucheki ndani kuna mihela imekaa hovyo hovyo, kuhesabu tulipata Euro 800. Mi nikaaga na kuondoka, J nae alibadili kijiwe, siku kadhaa mbele nilivyompigia akaniambie yeye aliramba Euro 200 bila ya kazi. Hela hawa watu wanapata sana sometimes kwa njia za wizi, problem Matumizi sasa
 
Back
Top Bottom