Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,592
- 63,088
- Thread starter
- #121
Kwa hali hiyo mkuu,kwa mwezi anaweza kuambulia kiasi gani?Hamna kitu kama hiko mkuu...wale wadada wameajiriwa wanalipwa kwa commission,hyo pesa inagawanywa kwa watu kibao,kuna pesa ya site hapo,kuna ya management,pana pesa yakuhonga mamlaka husika n.k
Hiyo biashara sio rahisi kabisa watu wengi wanaifanya na kuicha pesa zinapotea sana..
Recruitment ya wasichana pia sio kazi rahis haswa kama unaifanya internationally...
Sent using Jamii Forums mobile app