Tunaweza kuwacheka kumbe wanatengeneza hela ndefu

Tunaweza kuwacheka kumbe wanatengeneza hela ndefu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,530
Reaction score
62,969
Nilitembelea mtandao mmoja kwa ajili ya kuosha macho tu ili kuongeza ufahamu katika ubongo wangu. Nikakutana na wadada wako sokoni, kwa lisaa limoja ni USD 100. Ikabidi nichukue kikokotozi changu nikaanza kupiga hesabu.

Katika masaa 24 kwa siku tuchukulie ametumia masaa 10 = 10 x 100 x tsh. 2,316 =2,316,000

Kwa mwezi, tuchukulie alitumia siku 20 = 20 x2,316,000 = 46,320,000

Kwa mwaka, miezi 12 = 46,320,000 x 12 = 555,840,000

Kama atafanya kwa miaka 5 alafu astaafu = 555,840,000 x 5 = 2, 779,200,000

Tunaweza kuwacheka kumbe wanatengeneza hela ndefu
 
sawa lakini ilibidi uassume other factors remain constant , yani hiyo pesa haitumiki kwa chakula , hakuna kuumwa hapo katikati na mambo mengineyo mengi. Kinyume na hapo hizo hesubu ulizopiga sidhani kama zitawezekana
 
Acha tu jamaa yangu; nilipigwa milioni 3 na sikuambulia hata thumni. Ila ilinipa funzo, siku zote huwa naichukulia hiyo pesa kuwa ilikuwa "tuition fee" kwenye ujasiriamali wa kikwetukwetu.
Aisee pole sana mkuu,mi kuna mwanangu mmoja alikopa mil 7 akasome masters baadae akaahirisha,akatenga kama mil 4 hivi akaona aipeleke kwny matikiti.

Aisee zao shambani lilikubali balaa kufika sokoni matikiti yamejaa madalali wanazingua jamaa akakomaa kuuza mwenyewe kama siku 3 hivi baadae akalala mbele hata kirikuu aliyokodisha hakuwalipa hela yao akawaachia hayo matikiti ndukiiiiii.

Mwanzo mgumu mkuu.
 
Aisee pole sana mkuu,mi kuna mwanangu mmoja alikopa mil 7 akasome masters baadae akaahirisha,akatenga kama mil 4 hivi akaona aipeleke kwny matikiti.

Aisee zao shambani lilikubali balaa kufika sokoni matikiti yamejaa madalali wanazingua jamaa akakomaa kuuza mwenyewe kama siku 3 hivi baadae akalala mbele hata kirikuu aliyokodisha hakuwalipa hela yao akawaachia hayo matikiti ndukiiiiii.

Mwanzo mgumu mkuu.

Angalau huyo mwenzangu alijaribu kuuza mwenyewe, angalau amejithibitishia kuwa nchi hii kuuza mazao ya kilimo unahitaji nguvu na maarifa ya ziada. Mimi baadae "dalali" mmoja (nduguye na tuliefanya nae mwaka uliotangulia) alinijia na kuniambia: boss, wewe msimamie dogo mlime mimi nitashughulikia mauzo, maana bila dalali huuzi hata uwe mjanja vipi). Nikamwambia, nenda ukalime na huyo nduguyo, mimi nimeamua kufanya vitu vingine.
 
Masaa 10 kwa siku
Kwa mwezi 10 x20 siku = 200
Kwa mwaka 12x200 = 2400hrs
Khe si balaa hilo si litakuwa handaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Miaka mitano 12000hrs
Halafu astahafu

Bwege unajitokeza kwenda kulipishwa mahari ya milioni 5.
Kwenye harusi unapiga bonge la suti maeeeeee
Na bonge la tabasam
Unajiona wewe ndio weweeee
Umeopoa kifaaaa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sawa lakini ilibidi uassume other factors remain constant , yani hiyo pesa haitumiki kwa chakula , hakuna kuumwa hapo katikati na mambo mengineyo mengi. Kinyume na hapo hizo hesubu ulizopiga sidhani kama zitawezekana
Kweli mkuu,inawezekana
 
Back
Top Bottom