imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,632
- 72,997
Unaweza kumuabudu YAHWE na ALLAH bila kufuata Tamaduni za Kigeni.Dini ni utamaduni. Dini ni mwenendo. Utakuaje na dini kisha usifuate utamaduni,mwenendo na maadili yake?
Labda iwe dini mpya ila sio hizo
Hii inaitwa Africanization.