NAREI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 1,730
- 1,649
- Thread starter
- #81
Shukrani Tate Mkuu kwa maelezo mujaarabu.Eti mheshimiwa; 'ntumba' maana yake nini!! Achilia mbali hayo maneno mengine mfano 'tayri' vzr, nk.
Maana unamtaka mtoa mada akajifunze kuandika, huku na wewe ulichokiandika kikiwa hakieleweki!
Tatizo letu humu ujuaji mwingi ndio shida.