Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Salamu ndugu Wanajamvi,nawasalimu na kuwaomba msiache hii ikakupita popote ulipo Nchini Tanzania kwasababu kuwekeza kwenye Ardhi ni baraka na hakuna siku itapungua Thamani yake ikiwa tu umefanya uwekezaji wa uhakika na kufata taratibu za Kisheria.
Dodoma ni Mji unakuwa kwa Kasi sana kwenye miaka ya hivi karibuni 2015-2021+,kuna maeneo mengi yameshakuwa na Miji mikubwa na yamejengeka na Serikali(Jiji la Dodoma)inaendelea kupima na kugawana Viwanja sehemu mbalimbali.
Karibu tukuuzie Viwanja/Kiwanja lakini tukushauri kabla ya Kukuuzia kulingana na nini unataka kufanya kwenye hiyo Ardhi....
Sehemu ambazo tunauza Viwanja ni kama
1.Miganga North na Mkonze.
2.Mtumba na Kikombo
3.Nzuguni na Chitelera
4.Ihumwa na Iyumbu
5.Nala na Chigongwe
6.Mbalawala na Mnadani
7.Kata za Mjini Katikati zinauzwa Nyumba
8.Mashamba yanapatikana zaidi kwenye Wilaya za Bahi,Chemba,Chamwino,Kongwa na Mpwapwa kulingana na unataka kulima nini
Mawasiliano:-
Whatsapp/Sms/Call 0752464548
Mfano wa Viwanja
Dodoma ni Mji unakuwa kwa Kasi sana kwenye miaka ya hivi karibuni 2015-2021+,kuna maeneo mengi yameshakuwa na Miji mikubwa na yamejengeka na Serikali(Jiji la Dodoma)inaendelea kupima na kugawana Viwanja sehemu mbalimbali.
Karibu tukuuzie Viwanja/Kiwanja lakini tukushauri kabla ya Kukuuzia kulingana na nini unataka kufanya kwenye hiyo Ardhi....
Sehemu ambazo tunauza Viwanja ni kama
1.Miganga North na Mkonze.
2.Mtumba na Kikombo
3.Nzuguni na Chitelera
4.Ihumwa na Iyumbu
5.Nala na Chigongwe
6.Mbalawala na Mnadani
7.Kata za Mjini Katikati zinauzwa Nyumba
8.Mashamba yanapatikana zaidi kwenye Wilaya za Bahi,Chemba,Chamwino,Kongwa na Mpwapwa kulingana na unataka kulima nini
Mawasiliano:-
Whatsapp/Sms/Call 0752464548
Mfano wa Viwanja