Kiwanja kinapatikana PUGU (kigogo fresh)
Ni kiwanja cha kwanza kutoka barabara ya mtaa.
Kiwanja ni tambarare
Kiwanja kina ukubwa wa meter 30*25 (sqm) 750
Kutoka barabara kuu ya lami ni 1km
Bei: 8.5m
Habari wana jukwaa.
Maelezo husika.
Nyumba inapatikana Kitunda, Kibeberu.
Kutoka Barabara kuu ni meter 500
Nyumba ina vyumba vitatu.
Ipo kwenye Barabara ya mtaa.
Maji na Umeme vyote vipo.
Eneo la parking Gari 2 ndogo.
Imekamilika upande mmoja wa vyumba vitatu.
Bei: 18m
Kwanza jina tu Kitunda Kibeberu limekuharibia Sana biashara...Umeshindwa Kuipamba Useme Ilala Makao Makuu Ya Jiji la Dar...Karibu Kabisa na Njia Panda Ya Urayaaaaa ( kwa Kihaya,)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.