Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

Very true mkuu ...Morogoro road na Bagamoyo road ..Pana nafasi ya kuendelea kwa haraka

Kuanzia kibaha to chalinze ni sehemu nzuri sana kununua Ardhi ... Kuna uwezekano mkubwa miaka ya baadaye Mwendokasi ukafika mpaka chalinze

From dsm to chalinze ni 100km tuu ...Hii barabara ya kibaha to chalinze ikija tanuliwa ikawa double road Maendeleo yatakuja kwa kasi sana

Na pia Treni ya mwendokasi ikikamilika na kuanza safari za Dar to morogoro ..huu ukanda wa kibaha to chalinze utakua kwa kasi sana....

Bandari kavu kule vigwaza ikikamilika na serikali ikatilia mkazo containers zikawa zinapokelewa kule Watu ndo wataelewa jinsi gan Kibaha to chalinze very potential area

Tusisahau pia Mkoa wa pwani Ndo unaongoza kwa viwanda vingi Hususani ukanda wa Kibaha,bagamoyo na chalinze

Sent using Jamii Forums mobile app
Very true mkuu!
Umeandika nondo sana.
Ila sasa wote tukiishi/tukiwekeza huko (Chalinze, Kibaha, Bagamoyo) tutatosha kweli?
 
Hayo makosa ndo walifanya wazee wetu zamani eti ilikuwa wanasema kinondoni studio na mkwajuni pamoja na tazara ilikuwa porini ila sasa hivi hapakamatiki watanzania Sisi ni wabinafsi sana wakati mwingine kama una uwezo na nafasi wekeza kwa ajili ya watoto halafu usijenge kiache ww kanunue ujenge huko kibaha au bagamoyo unapo papenda mpaka watoto wakikua hpo kitunda pameshakuwa hot in town sometimes tuwekeze kwa ajili ya watoto wetu tuache ubinafsi.
Ni kweli wazee wetu leo hii wanajuta ndugu yetu alikuwa mwanajeshi anasema walipewa viwanja eneo la Kunduchi wakavikataa wakisema porini tena walifatwa kambini na wenyeviti wa vijiji wakaambiwa mje mchukue viwanja kwanini mnatoka mbali kuja kazini na kurudi njooni mchukue viwanja mjenge muwe karibu na kazini kwenu, cha ajabu walikataa lakini leo hii Kunduchi beach wanakaa matajiri huku wao wanaishi nje mji wengine vijijini huko mikoani.
 
Mkaribie Kibaha fully Lami bei za viwanja ni chee
Ukitoka NIDA kuelekea Pangani - Bagamoyo kuna wawekezaji wanatengeneza Bandari kavu eneo lile kuna viwanja kibao vinauzwa ... maji yapo na huduma ya umeme pia ipo

Karibuni Kibaha
Bei gani mkuu?
 
Hahahahahah huko wamejaa waswahili ndio maana kumezubaa zubaa 😂😂😂 inshort Kilwa Road kumekaa kushoto. Unyama ni Bagamoyo Road na Morogoro Road. Kule lazma kuendelee maana waumini wa itikadi za Mshana Jr hawakuwa wengi

Kilwa road ni nzuri sana kwa viwanja vya biashara.

Ukitaka jenga fremu za biashara zikulipe point viwanja pande hizo..

Maana population ni kubwa sana kunajaa haraka sana.

Kibiashara sehemu yoyote yenye idadi ya watu maana yake kuna idadi kubwa ya wateja
 
Ahahaah hatuwezi tosha ..ila nimejaribu kuchanganua faida zilizopo ukanda wa Kibaha na Bagamoyo compare to Kilwa road (kisemivule,vikindu mkuranga) na Pugu road (Chanika n.k)

Sent using Jamii Forums mobile app


Kilwa road (Kisemvule,vikindu mkuranga) na Pugu road (Chanika n.k)

Ukitaka jenga fremu za biashara zikulipe point viwanja pande hizo za Kilwa road..

Maana population ni kubwa sana huko. Na hata sehemu za porini za huko huwa kunajaa haraka sana.

Kibiashara sehemu yoyote yenye idadi ya watu maana yake kuna idadi kubwa ya wateja.
 
Hello JamiiForums members
Plot is on sale
It has 400 square meter
(Meter 20×20)
Plot is located at Jet lumo (kwa gude)
500m from Nyerere road
The plot is Suitable for small industry buildings, yard, godowns, hotel buildings, apartments or other investments

Offer: 100m

Mobile: 0785 857564


IMG_20220828_140254_658.jpg
IMG_20220828_140448_642.jpg
IMG_20220828_140240_789.jpg
IMG_20220828_140236_136.jpg
IMG_20220828_140325_587.jpg
IMG_20220828_140501_086.jpg
 
Back
Top Bottom