mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,557
Pesa sawa lakini pesa si kila kitu!
Sasa sisi ambao pesa hatuna na muonekano mbaya si ndio twafaaaa! Msitufanyie hivyo jamani.....!Muonekano mzuri mwanaume kama huna pesaa mmhh sijui inakuwaje Mario hawa ni wengi… hahahaha hata jogoo kabla ya kugonga huwa anawaitia vimtetea vivyakula vyakula wakati wanadonoa yeye ndiyo anakamata mmoja anapiga .. sasa wewe kama huna vitu vya kuita mademu duh utakuwa unaachika kila uchao na mwonekano wako huo,,…
ha haha mtaokota dodoSasa sisi ambao pesa hatuna na muonekano mbaya si ndio twafaaaa! Msitufanyie hivyo jamani.....!
mkuu unasema kweli?Pesa sawa lakini pesa si kila kitu!
Chini ya muarobaini?!!ha haha mtaokota dodo
ha haha ulivyojikatia tamaa maskini poleMi nshajichokea zangu na wadada Wa siku hizi....ni vyema tu nibaki pekeangu maisha yaendelee ..
ndiyo ila usijali utapata pesa siku mojaChini ya muarobaini?!!
Hahaha single mamas Ndio mapoozeo ya watu hebu waacheniNaomba mungu hilo lisifanikiwe sbababu najua idadi kubwa sana ya vidume humu JF wanaowaponda single mothers ndiyo wahusika wakuu.
Wanasemaga sio wachoyo!Hahaha single mamas Ndio mapoozeo ya watu hebu waacheni
BrotherHebu nipm namba yako kwanza.
Habari yako brother.Brother
Naona unataka ushauri zaidiHabari yako brother.
Kusalitiwa ni changamoto za maisha??ha hahaha mkuu jua huwezi kuturidhisha we play your party basi mengine tuachie wenyewe,.. kusalitiwa ni changamoto za maisha tu
mkuu ni ukweli mchungu bora uweke hiyo akilini kuliko kujidanganya ni yako peke yakoKusalitiwa ni changamoto za maisha??
seriously?
Hahahaha,si unajua hawa ndugu zetu hawajui wanachokitaka.!!Naona unataka ushauri zaidi