Tunataka kile usichokuwa nacho

Tunataka kile usichokuwa nacho

hahaha kachunwa demu sema hapati direct impact kama wewe unavyotoa pesa yako
Na ogopa sana indirect impact anayopata huyo mwanamke, ....... ingekuwa wanachuna kweli kama munavoongopeana wakina wema sepetu, sijui wolper wangekuwa wanatembelea ma VX na kumiliki sheli hapa mjini lakini huwezi amini hata ma bank teller graduates wa mwaka juzi wanawazidi kipato......... Washauri wenzako wafanye kazi,tena kwa awamu hii watajifunza practically kwa lazima.

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Na ogopa sana indirect impact anayopata huyo mwanamke....... ingekuwa wanachuna kweli kama munavoongopeana wakina wema sepetu, sijui wolper wangekuwa wanatembelea ma VX na kumiliki sheli hapa mjini lakini huwezi amini hata ma bank teller graduates wa mwaka juzi wanawazidi kipato......... Washauri wenzako wafanye kazi,tenakwa awamu hii watajifunza practically tu

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
sawa mkuu nitawashauri wenzangu mkuu
 
Mademu hawajuagi nini wanataka, kile unachohisi ukimpa kitamfanya akupende daima ipo siku utashangaa na dunia atapokugeuka ukawa fwala na mbaya zaidi kukusaliti juu.
Wanawake ni viumbe wa hovyo sana kuwahi kutokea ulimwenguni. Mazee tusipoteze muda kuwekeza kwa mapenzi na hawa wadudu. Hawaridhikagi hataaa umpe dunia.

Huntha
 
Ha ha Mnakutanaga na wanaume malimbukeni .. Mimi hata uwe mzuri kuliko mAsogange nikiamua kutokusikiliza sikusikiliziiii
 
kwani wewe unajiuza?mbona hua sikuelewi?. Wapo wanawake wengi wanapenda kwa dhati .Mapenzi na pesa ni tabia yako sio ya wanawake.
 
Wanawake hamuelewekagi mnataka nini. Sometime mnatuchosha sana kuwatambua
 
ndo maana wanaume hatutakaa tutulie..hivi mnikatae sina hela niumie miongo na miongo kuzitafuta,unazani bahati nikizipata nitaacha kuwapanga niwezavyo??
umalaya wa wanaune mnasababisha nyie mabinti..
nasema hivii;labda ela niaizipate.mtakoma nyie wanawake mtakao kutana na mm,japo maisha sio tyt as nina lyf standard na ka IST kangu apa,
[HASHTAG]#iCantFuckTwice[/HASHTAG].....nikikutomba sikutudii mameeeerk
 
Back
Top Bottom