Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Maneno safi sana... nikiachika safari hii ntakutafuta kwa darasa la jioni!!!
Mambo yako nayajua,huwezi kunikamatia.ha haha nisije kukukamata wewe ukaja hapa unalia ha hahaha

ha hahaha mkuu jua huwezi kuturidhisha we play your party basi mengine tuachie wenyewe,.. kusalitiwa ni changamoto za maisha tuMademu hawajuagi nini wanataka, kile unachohisi ukimpa kitamfanya akupende daima ipo siku utashangaa na dunia atapokugeuka ukawa fwala na mbaya zaidi kukusaliti juu.
Wanawake ni viumbe wa hovyo sana kuwahi kutokea ulimwenguni. Mazee tusipoteze muda kuwekeza kwa mapenzi na hawa wadudu. Hawaridhikagi hataaa umpe dunia.
ha haha umeweka sawa zaidiWanawake hawajui wanachotaka bali wanajua walichokitaka. Wanaume wanajua wanachotaka ila hukiacha na kutafuta wasichokitaka.
we uliza chochote hapa nitakujibu mkuu kuwa huruMeseji iko nzuri imenivutia kuhitaj kuelimishwa zaid cjui nikufuate pm
ha hahaha ngoja nikukimbie sababu nisije nasa pabovuMambo yako nayajua,huwezi kunikamatia.![]()
na ndivyo tunavyoishikumbe ndivyo mlivyo......................
miaka mingi sana mzee wa lumumbaKumbe upo Mabibo Hostel ya UDSM?
Mzee Tupatupa
pesa yako tuManeno safi sana... nikiachika safari hii ntakutafuta kwa darasa la jioni!!!
nakubaliana na wewe .. lakini ndiyo utakuta wanaume mnakimbizana na hao ambao hawapo smart .. ha haha nacheka sababu kuna jamaa mmoja anademu wake mkali anajielewa kiukweli ni mwanamke wa kuheshimu lakini ukionahao mademu anaangaika nao ni huruma wanamchuna tu akiishiwa anarudi kwa demu wake kama fala wanaume ninyi si vizuriKuna wanawake wanapenda kuji position as if wao ni Lulu.
Yaani ni kitu cha thamani sana cha kushindaniwa, utadhani wamekuwa kombe la dunia au Olympic golden medal.
Ni wanawake hao hao utawasikia wanaweka vigezo sijui ukitaka kuwa na mimi lazima uwe na vitu fulani au fanya hivi na vile la sivyo hunipati,......BULLSHIT!!!!.......kwani umekuwa oxygen kwamba ukikosemana maisha hayaendi?
Cha ajabu wanawake wa hivyo si wanawake halisi bali ni vivuli vyenye jinsia ya kike, kwenye maisha vichwa vyao havina kazi nyingine zaidi ya kutundikia rasta.........ni wabovu kupita kiasi kwenye karibu kila kitu.
Wapo wanawake wanaoji position kama kawaida lakini wapo smart sana, yaani hakuna idara utampata na cha kumkosoa............kwa bahati mbaya wanawake smart wapo wachache.
Like attracts like!nakubaliana na wewe .. lakini ndiyo utakuta wanaume mnakimbizana na hao ambao hawapo smart .. ha haha nacheka sababu kuna jamaa mmoja anademu wake mkali anajielewa kiukweli ni mwanamke wa kuheshimu lakini ukionahao mademu anaangaika nao ni huruma wanamchuna tu akiishiwa anarudi kwa demu wake kama fala wanaume ninyi si vizuri
Hapa umewakilisha wachagapesa yako tu