Tunataka kile usichokuwa nacho

Tunataka kile usichokuwa nacho

Kwani mkuu @misschagga mumeo ulimpataje?
Akifilisika je utamkimbia?
mume wangu ni story ndefu ...
hawezi kufilisika sababu nipo nyuma yake na anafuata maelekezo na anajua kuwa pesa inanivuta so huwa tukaa pamoja na kuweka mikakati ya pesa mezani,, hakuna utani kwenye mambo ya pesa
 
Ni kweli kila mtu hutamani kile asichokuwa nacho na akishakuwa nacho atatamani kile kisichokuwepo.

Cha msingi ni kuridhika na kile ulichonacho as you cant have it all. Penda na thamini cha kwako.
 
Ni kweli kila mtu hutamani kile asichokuwa nacho na akishakuwa nacho atatamani kile kisichokuwepo.

Cha msingi ni kuridhika na kile ulichonacho as you cant have it all. Penda na thamini cha kwako.
kabisa
 
Back
Top Bottom