Edgepont Dieter's ni club ya kupungua mwili ambayo hupika vyakula vya diet na kukuletea nyumbani au kazini. Breakfast, lunch na dinner ni kwa shilingi 8,500/= tu.
Tuna 'Edgepoint 14 day diet' ambayo utapunguza kilo zaidi ya 9 ndani ya wiki mbili. Diet yetu ni rahisi na sio ya kukutesa. vinginevyo unaweza kututumia diet plan yako na tutakupikia na kukuletea chakula chako cha siku nzima kwa 8,500/-.
Pack ya chakula inakua na breakfast, lunch, dinner na maji lita 2 ya Kilimanjaro.
tupigie; 0715808038 au tuma barua pepe; lcmakoi@gmail.com
sio fiksi mwana, tunakupa diet na usipo cheat hiyo diet na ukafanya mazoezi walau kutembea dk 30 kwa siku, tunakuahidi, in 2 weeks utapunguza kilo 9. ipo Dar pekee.