mangonifera indica
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 845
- 1,472
Umenikumbusha the land of the windWanaume wa dar watakuja kutoa likes
Ila sie wa mkoani tulikuwa tunafuatilia Jumong,Bidam,land of the wind.
Umenikumbusha the land of the windWanaume wa dar watakuja kutoa likes
Ila sie wa mkoani tulikuwa tunafuatilia Jumong,Bidam,land of the wind.
Huna hakika na usemalo, mapenzi yako asilimia ndogo sana,wanaonyesha mapenzi kwa familia, na maadili Islam, mavazi staha.Sehemu kubwa ni utawala na maisha kasiri la mfalmesultan haina maadili maana huwezi kuitazama ukiwa na wanao, ni aibu tupu
Ibrahim pasha alikuwa na hekima na busara za kiuongozi.ameuwawa kw uchochez wa mke wa suleimani.lkn huyu sultana mke wa suleiman pia alimuuwa mama ake na ibrahimu.na ameuwa wengi ktk kasri hilo.lkn yoote haya yanatokea kw sbbu ya ujinga na upofu wa mfalme suleiman.Kabisa alikuwa na lugha za hekima kiuongozi. Nidhamu kwa mfalme ,alijitambua sana.
Mie nadhani mfalme atakuwa na wakati mgumu sana kiutawala. Pia nilitamani Kiongozi muhimu mfano mkuu,aone ajifunze kuhusu kuheshimu wasaidizi wake na raia wenzake, Ibrahimu aliipenda familia yake, .Shida yenu mnaitizama hii tamthilia kwa jicho la tamthilia wakati haya ni maisha ya kweli yalitokea ndio ivyo ilikuwa
Pargalı Ibrahim Pasha - WikipediaMie nadhani mfalme atakuwa na wakati mgumu sana kiutawala. Pia nilitamani Kiongozi muhimu mfano mkuu,aone ajifunze kuhusu kuheshimu wasaidizi wake na raia wenzake, Ibrahimu aliipenda familia yake, .
Rejea ya Lissu, Balozi Canada Kidata, kesi za dhuluma,Akwilina .....
Sasa si ungeenda ku comment kwenye huo uzi wa Jumong na nyenginezo au ndo shobo tu kwa wanaume wa DarWanaume wa dar watakuja kutoa likes
Ila sie wa mkoani tulikuwa tunafuatilia Jumong,Bidam,land of the wind.
kuangalia tamthilia ni umama
Shida yenu mnaitizama hii tamthilia kwa jicho la tamthilia wakati haya ni maisha ya kweli yalitokea ndio ivyo ilikuwa
wewe huwezi kuwa mwana uuume aisee.Weka like hapa endapo unafatilia tamthilia ya Sultan
[emoji42] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwann mkuusultan haina maadili maana huwezi kuitazama ukiwa na wanao, ni aibu tupu
Inasemekana ni true story ilitokea hivyo, Sultana Hurett Mke wa Mfalme alikuwa na chuki kubwa na waziri mkuu Ibrahimu Pasha ,hivyo alijaribu fitina nyingi akosane na Mfalme Suleiman. Nadhani alichangia sana kuanguka kwa himaya hiyo ya Ottoman.Ila unawezaje kuwaua Waume wa Dada Zako kisa madaraka au matumizi mabaya ya madaraka tu?
Kwani angempiga chini U-Waziri Mkuu ingekuaje?
Angempeleka hata Jikoni akakae na Kina Urojo apike.
Inasemekana ni true story ilitokea hivyo, Sultana Hurett Mke wa Mfalme alikuwa na chuki kubwa na waziri mkuu Ibrahimu Pasha ,hivyo alijaribu fitina nyingi akosane na Mfalme Suleiman. Nadhani alichangia sana kuanguka kwa himaya hiyo ya Ottoman.