Tunaofatilia Sultan tukutane hapa

Tunaofatilia Sultan tukutane hapa

Hivi imekuaje mtoto mkali kama Feruze wampeleke uhamishoni kisa fitna za bi mjengo Hurrem..?
 
Yupo tele, nadhani atakuwa kahasiwa yule,vinginevyo si kwa kujipendekeza Kule.
Sio itakuwa kahasiwa ni kweli kahasiwa, yeye, gula, kilaza, urojo ndio kanuni za harem yao.

Inachoniboa tamthilia mtunzi amependelea sana hurrem japo ni Sterling amechezesha kama asieshindwa. Alafu anamchezesha pasha kama zumbukuku kwenye maamuzi ya kila simu ya maisha wakati huo huo anamchezesha kama mwenye akili nyingi sana katika utawala na ndie amemsaidia Suleiman kufika aliko.

Kwa mfano, juzi hurem kamuwekea majambazi wamuue lakini kafika kwa sultan hamwambii ukweli. Sawa tukubali anaona suleman asikii aambiliki kwann asimuombe Rafiki yake waweke mtego ajue sura halisi ya Hurem. Hapo ndipo inaboa japo ndio kufanikiwa kwa mwandishi kutuudhi.
 
Sio itakuwa kahasiwa ni kweli kahasiwa, yeye, gula, kilaza, urojo ndio kanuni za harem yao.

Inachoniboa tamthilia mtunzi amependelea sana hurrem japo ni Sterling amechezesha kama asieshindwa. Alafu anamchezesha pasha kama zumbukuku kwenye maamuzi ya kila simu ya maisha wakati huo huo anamchezesha kama mwenye akili nyingi sana katika utawala na ndie amemsaidia Suleiman kufika aliko.

Kwa mfano, juzi hurem kamuwekea majambazi wamuue lakini kafika kwa sultan hamwambii ukweli. Sawa tukubali anaona suleman asikii aambiliki kwann asimuombe Rafiki yake waweke mtego ajue sura halisi ya Hurem. Hapo ndipo inaboa japo ndio kufanikiwa kwa mwandishi kutuudhi.
Now Sterling Mkuu Hurrem kasalim amri kwa Ibrahim Pasha, kaomba suluhu yaishe waache bifu zao.
 
huyo sultan ni mwanamke mzur nn mbona watu wengi wanamfatilia hakuna aliyekubaliwa?
Huyo ni Ngoma ya Mfalme Suleiman, Mtawala wa Dunia, hakuna anaeweza kuthubutu kumfukuzia
 
Nimenza fatilia karibuni baada ya fitina TCRA, kuzuia ITV DSTV, nkanunua Azam.
 
Back
Top Bottom