lukaku10
Member
- Dec 3, 2018
- 56
- 46
Inasemekana ni true story ilitokea hivyo, Sultana Hurett Mke wa Mfalme alikuwa na chuki kubwa na waziri mkuu Ibrahimu Pasha ,hivyo alijaribu fitina nyingi akosane na Mfalme Suleiman. Nadhani alichangia sana kuanguka kwa himaya hiyo ya Ottoman.
Kifo cha pasha kilichangia? Au mke wa sultan alichangia kuanguka kwa himaya hio?