Tunaochapiwa, waliowahi kuchapiwa wake, wapenzi, wachumba zao na Member (s) wenzetu wa JF tujuane

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,411
11,061
Maisha hapa duniani kila sehemu kuna wazuri na wabaya, katika hali ya kawaida tunapokuwa na wake, wapenzi, na wachumba, huwa hatuwafugi wala kuwachunga kama mifugo, na pia katika maisha kuna kuwa vizuri kiuchumi, kufulia na Kuyumba, kuna kuwa na gari, pikipiki etc vyote kama kishawishi au mvuto wa mapenzi

Kuna kisa cha msela wangu yeye alichapiwa mwanamke wake na jamaa fulani ambae ni member humu JF baada ya jamaa (huyu mwizi) neema ya uchumi kufunguka, jamaa alivuna mpunga wa kufidiwa na mwendo kasi Yapi markenzi kwenye SGR kipande Cha DSM-Morogoro,

Jamaa akavuta harrier new model rangi common sana kwa hizo harrier inavoonekana, jamaa anafahamiana na huyu mwanamke kitambo kwa njia flani ya mlango wa nyuma, most likely kiushemeji kwa mke wake.

Basi jamaa nadhani alikuwa anamkula kama mkewe vile mazingira ya ofisini kwake yanaruhusu kwa hio alikuwa anaula huo mzigo ofisini kwake, au kwenye gari na maeneo kadhaa.

Katika hali isiyo ya kawaida siku moja jamaa yangu Mungu alimjia malaika wa mchana walimpanda akafanikiwa kumkuta mkewe akiwa na jamaa.

Huyu member yumo humu ingawa sio active sana kwenye kushusha threads, mara chache ana like, ni active member kiasi chake.

Hapo zamani nilimwambia mwanangu usioe achana na mbwa hao akadhani namzingua, Sasa mwanangu kuhusu kuoa tena ni kama jehanamu hataki kusikia.

Huyu mwamba bora asioe tu ana hasira za kuua mtu, na bifu lake hamalizi, kuna watu wanyama sijawahi kuona, this guy usione wakimya akina Hitler na Idd amini Ndio aina hii.

Jamani nawashauri kama huna moyo wa Kibaharia achana na habari za kuoa. Ishi kisera maisha yaende.

Hiki kisa nimefupisha najua hawa jamaa watapita humu kwa hio sijaweka ishara wazi nimeifanya anonymous kimaudhui hasa location na exact place na majina na mishe zao ila wakisoma watajua tu.


Imeisha hio mapenzi ni vita angalia silaha zako.


Wadiz a.k.a ndio mimi.
 


ngoja aje

 
Maisha hapa duniani kila sehemu kuna wazuri na wabaya, katika hali ya kawaida tunapokuwa na wake, wapenzi, na wachumba, huwa hatuwafugi wala kuwachunga kama mifugo, na pia katika maisha kuna kuwa vizuri kiuchumi, kufulia na Kuyumba, kuna kuwa na gari, pikipiki etc vyote kama kishawishi au mvuto wa mapenzi

Kuna kisa cha msela wangu yeye alichapiwa mwanamke wake na jamaa fulani ambae ni member humu JF baada ya jamaa (huyu mwizi) neema ya uchumi kufunguka, jamaa alivuna mpunga wa kufidiwa na mwendo kasi Yapi markenzi kwenye SGR kipande Cha DSM-Morogoro,

Jamaa akavuta harrier new model rangi common sana kwa hizo harrier inavoonekana, jamaa anafahamiana na huyu mwanamke kitambo kwa njia flani ya mlango wa nyuma, most likely kiushemeji kwa mke wake.

Basi jamaa nadhani alikuwa anamkula kama mkewe vile mazingira ya ofisini kwake yanaruhusu kwa hio alikuwa anaula huo mzigo ofisini kwake, au kwenye gari na maeneo kadhaa.

Katika hali isiyo ya kawaida siku moja jamaa yangu Mungu alimjia malaika wa mchana walimpanda akafanikiwa kumkuta mkewe akiwa na jamaa.

Huyu member yumo humu ingawa sio active sana kwenye kushusha threads, mara chache ana like, ni active member kiasi chake.

Hapo zamani nilimwambia mwanangu usioe achana na mbwa hao akadhani namzingua, Sasa mwanangu kuhusu kuoa tena ni kama jehanamu hataki kusikia.

Huyu mwamba bora asioe tu ana hasira za kuua mtu, na bifu lake hamalizi, kuna watu wanyama sijawahi kuona, this guy usione wakimya akina Hitler na Idd amini Ndio aina hii.

Jamani nawashauri kama huna moyo wa Kibaharia achana na habari za kuoa. Ishi kisera maisha yaende.

Hiki kisa nimefupisha najua hawa jamaa watapita humu kwa hio sijaweka ishara wazi nimeifanya anonymous kimaudhui hasa location na exact place na majina na mishe zao ila wakisoma watajua tu.


Imeisha hio mapenzi ni vita angalia silaha zako.


Wadiz a.k.a ndio mimi.
 
Maisha hapa duniani kila sehemu kuna wazuri na wabaya, katika hali ya kawaida tunapokuwa na wake, wapenzi, na wachumba, huwa hatuwafugi wala kuwachunga kama mifugo, na pia katika maisha kuna kuwa vizuri kiuchumi, kufulia na Kuyumba, kuna kuwa na gari, pikipiki etc vyote kama kishawishi au mvuto wa mapenzi

Kuna kisa cha msela wangu yeye alichapiwa mwanamke wake na jamaa fulani ambae ni member humu JF baada ya jamaa (huyu mwizi) neema ya uchumi kufunguka, jamaa alivuna mpunga wa kufidiwa na mwendo kasi Yapi markenzi kwenye SGR kipande Cha DSM-Morogoro,

Jamaa akavuta harrier new model rangi common sana kwa hizo harrier inavoonekana, jamaa anafahamiana na huyu mwanamke kitambo kwa njia flani ya mlango wa nyuma, most likely kiushemeji kwa mke wake.

Basi jamaa nadhani alikuwa anamkula kama mkewe vile mazingira ya ofisini kwake yanaruhusu kwa hio alikuwa anaula huo mzigo ofisini kwake, au kwenye gari na maeneo kadhaa.

Katika hali isiyo ya kawaida siku moja jamaa yangu Mungu alimjia malaika wa mchana walimpanda akafanikiwa kumkuta mkewe akiwa na jamaa.

Huyu member yumo humu ingawa sio active sana kwenye kushusha threads, mara chache ana like, ni active member kiasi chake.

Hapo zamani nilimwambia mwanangu usioe achana na mbwa hao akadhani namzingua, Sasa mwanangu kuhusu kuoa tena ni kama jehanamu hataki kusikia.

Huyu mwamba bora asioe tu ana hasira za kuua mtu, na bifu lake hamalizi, kuna watu wanyama sijawahi kuona, this guy usione wakimya akina Hitler na Idd amini Ndio aina hii.

Jamani nawashauri kama huna moyo wa Kibaharia achana na habari za kuoa. Ishi kisera maisha yaende.

Hiki kisa nimefupisha najua hawa jamaa watapita humu kwa hio sijaweka ishara wazi nimeifanya anonymous kimaudhui hasa location na exact place na majina na mishe zao ila wakisoma watajua tu.


Imeisha hio mapenzi ni vita angalia silaha zako.


Wadiz a.k.a ndio mimi.
Kuchapiwa ni uzembe wako au ni utashi wa demu wako?
 


ngoja aje

hizo threads hazihusiani kabisa na hiki kisa mimi nimeweka very specific mnufaika wa fidia za SGR na Alipata mpunga Milioni 200+ sio pesa ndogo
 
Back
Top Bottom