Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Tunaoanza NoFAP challenge leo tukutane hapa

Ukitaka kuanza anza tu kimya kimya,ukisema unakuwa umetangaza vita upande mwingine,hivyo utashangaa unajikuta kwenye mazingira ambayo lazima usex.
Noted mkuu, ulichoongea ni fact. Japo kwangu jf ni sawa na kimya kimya tu
 
Nimejaribu mara kadhaa so najua ugumu unatokeaga wapi, ila nikuambie kitu sometimes tunajiendekeza tu
Nyeto n kujiendekeza ila kulomba n ngumu sana na kipindi hiki ndio pisi zinakuja hadi kunyooshea blauzi gheton zikiwa zmefunga kanga tu 😂
 
Labda sio kwa hizi sketi wanazovaa hivi viumbe,mi nilijaribu lakini hawa nyapu holders wanatutega sana bila wao kujua🙌
 
Rasmi leo naanza hii challenge, dua zenu wakuu. Wanaotaka kwenda pamoja nami tuungane hapa

No sex,
No masturbation,
No porn.

Here we go.

Picha haihusiani na uzi
Ni Bora ungeanza kimyakimya


Hivyo ulivyotutangazia ni umeharibu kabisa tunakupa wiki mbili utarudi chaputa😃
 
Back
Top Bottom