kuna rafiki yangu wakiume ameoa tena kwa ndoa kuna jambo linamsumbua...jamaa anaishi arusha pia ni mfanya kazi tena kazi yke ni yakwaida lkn kinachomsumbua niakina dada kwani anasema AMEKUTANA NA AKINA DADA WENGI LKN ZAIDI YA WATANO WAMEKUWA WAKITOA SIFA NYINGI KWAKE mf;we nimrefu,unamacho mazuri,nimpole,mcheshi,mtanashati...mara ya mwisho anasema alivyokuwa akipishana na mmoja kati ya hao akina dada alianza kucheka akamuuliza kulikoni yule dada akajibu Daaah kweli mkeo anapata tabu sana,jamaa akamwambia kivipi yule dada akasema aaah basi tu! Jamaa akaamua kuja kuniomba ushauli binafsi nimeamua niwashilikishe tumshauli kwa pamoja au mnaonaje...!