Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Yericko Nyerere

Watu wa Chadema mmeshanunuliwa na KAGAME sasa sio siri tena.

1. Kwanza ulidai kampuni inamilikiwa na familia ya kikwete, leo unaongeza Jacob zuma, let me guess, kesho utadai pia ufaransa inamiliki hisa humo au sio? Utadai na kayumba nyamwasa naye ni director? Na familia za marais wote wa SADC as well! tena unadai waliiba madini wakati wanawakimbiza M23, hujui kuwa operesheni ile ilikuwa chini ya UN? Unataka kusema UN iliruhusu SADC wapore madini ya DRC au sio? Hivi Hujui kuwa miaka yote M23/CNDP ilipokuwa inatawala eastern DRC, Rwanda ilikuwa inaongoza kwa kuuza coltan na madini mengine isiyonayo nchini kwake, na ambayo yanapatikana sehemu zile tu zilizokuwa chini ya hawa "waasi" na kwamba iliporomoka ghafla baada ya M23 kuondolewa? Hujui kuwa majeshi ya Rwanda na Uganda walifikia hatua ya kupigana ndani ya DRC wakigombea migodi? Nani mwizi hapo? hujui kuwa M23 baada ya kupigwa wako rwanda na rwanda imekataa kuwarudisha DRC wakahukumiwe? hujui kuwa kiongozi wa CNDP (ambayo ndio baadae M23) Laurent Nkunda anatakiwa the hague ICC na Rwanda inamhifadhi haitaki kumtoa? Haujui kuwa viongozi wote wa "waasi wa kitutsi nchini congo" kuanzia enzi za kabila mkubwa mpaka sasa, kama sultani makenga, bosco ntaganda (ambaye yuko ICC), laurent nkunda etc, WOTE WALIKUWA ASKARI WA RPA YA KAGAME MWAKA 1994? Walikuwaje wanyarwanda mwaka 1994 na leo wawe wacongo kama anavyodai Hezekia wenje?

2. Tukijumuisha mambo ya wenje kutetea wazi wazi bungeni kuwa Rwanda haihusiki na M23, wakati ripoti za UN ziliweka hadharani kuwa majeshi ya M23 ni ya Rwanda, wakati marekani na uingereza walisimamisha misaada kuiadhibu Rwanda kwa hilo la M23 n.k. Tunaona wazi kuwa Chadema mnafanya kazi ya propaganda za Mushikiwabo nchini kwetu. Chadema mnafukuzana wenyewe kwa wenyewe mkituhumiana usaliti, kumbe na nyinyi mnasaliti TAIFA! Bora tuendelee na CCM mbovu kuliko kuwa chini ya RPF-B, naona hata sare zenu zimefanana sijui ni coincidence....



cc:Ngongo Kidogo chetu, FaizaFoxy, kmbwembwe Lizaboni majeshi 1981 JokaKuu Jasusi, Nguruvi3, Ben Saanane, Tumaini Makene
 
mtawa-quote kila aina ya wanafalsafa. lakini ninachoamini ambacho ndio ukweli, Hukumu aliyohukumiwa ZZK ni hukumu kubwa kabisa katika maisha ya mwanasiasa. kumbuka mlimhukumu kwa hukumu ya USALITI na kama chadema wangepewa haki ya kutekeleza hukumu hiyo kimatendo, ni wazi ZZK angenyo9ngwa hadharani hadi kufa kwani hiyo ndiyo hukumu sahihi kwa MSALITI.
mLITUANISHIA HAPA JINSI AMBAVYO ALICHANGIA KUPOROMOKA KWA CHADEMA KATIKA MKOA WA KIGOMA NA JINSI AMBAVYO CHADEMA KILISHINDWA UCHAGUZI KWENYE MITAA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE.
bila vibaraka wa mbowe kukiri kuwa walikuwa wanatumika na kuomba radhi watanzania na chadema kwa ujumla, katu hamtaweza kuaminika maana hata ZZK akirudi chadema, atarudi with different mentality na ni wachache sana miongoni mwa wana chadema atakaokuwa anawaamini. hilo loko wazi na endeleeni kumeza matapishi na uharo wenu. we are enjoying it badly

Huwa siku zote nasema hili jukwaa ni tofauti na lilivyokuwa miaka mitatu nyuma watu kama hawa ndio wanafanya watu makini washindwe kuingia humu ni upuuzi mnaufanya au ni hizo buku 7 vijana wenzenu wanasema mnapewa.Yerrico Nyerere kaanzisha kitu kizuri tukijadili wewe umeingiza utoto tuanze tuanze kujadili watu badara ya vitu.sio kila uzi lazima uchangie mkuu.Mods hebu watazameni hawa watu kwa jicho la tatu jamani wanatuharibia hili jukwaa nini maana ya GT sasa kama watu wanachangia tuuu ili mradi waingize siku inauma sana jamani.Mungu ibariki JAMII FORUM
 
Huwa siku zote nasema hili jukwaa ni tofauti na lilivyokuwa miaka mitatu nyuma watu kama hawa ndio wanafanya watu makini washindwe kuingia humu ni upuuzi mnaufanya au ni hizo buku 7 vijana wenzenu wanasema mnapewa.Yerrico Nyerere kaanzisha kitu kizuri tukijadili wewe umeingiza utoto tuanze tuanze kujadili watu badara ya vitu.sio kila uzi lazima uchangie mkuu.Mods hebu watazameni hawa watu kwa jicho la tatu jamani wanatuharibia hili jukwaa nini maana ya GT sasa kama watu wanachangia tuuu ili mradi waingize siku inauma sana jamani.Mungu ibariki JAMII FORUM
\
great thinker hawezi kuwa KIAZI(KIOGWE!!!) TRUST ME
 
\
great thinker hawezi kuwa KIAZI(KIOGWE!!!) TRUST ME

Notradamme umeishiwa hoja unaleta viroja.umeanza kutafsiri majina.Narudia kukuasa kuwa mnalipotezea heshima jukwaa letu pendwa au ndio tuamini yanayosemwa na vijana wenzenu kuwa msipovuruga mijadala humu jukwaani mkono hauendi kinywani?.kama ndio hivyo wewe leo uongezwe posho walau ifike buku 10 maana kila mahari nikipita upo.
 
ZZK is comming back to chadema.
na la kusikitisha ni kwamba mume wenu mbowe ndiye anayeomba ZZK arudi..
start parking your things.
kuwa kibaraka ni upumbavu na mwisho wa upumbavu ni fedheha.

Unaongelea CDM ipi? Hii ambayo mimi ni mwanachama au kuna nyingine hapo lumumba buku 7?
 
Yeriko Nyerere, tafadhali sana, kabla hujaanza kujibu na kubishana na hawa MAZUZU, Wanaodhalilisha fikra na mtazamo wako naomba urejee kwenye SIGNATURE yako kisha sisi tusonge mbele.

" Kuna watu wasipokuelewa maneno na vitendo, Mshukuru Mungu, wewe bado unafikra chanya, wakianza kukuelewa jichunguze ni wapi umeanguka maana umeanza kuwaza kama wao"
 
Unaongelea CDM ipi? Hii ambayo mimi ni mwanachama au kuna nyingine hapo lumumba buku 7?
wewe ni mwanachama wa vikundi maslahi vingapi hapa mjini????
najua wewe ni mwanachama wa SACOSS INAYOITWA CHADEMA
Ulikuwa mwanachama wa DECI
na uliliwa vilevile kwenye ule mchezo wa DOLLARJET.
HAHAHHAHAAAAAA
 
notradamme umeishiwa hoja unaleta viroja.umeanza kutafsiri majina.narudia kukuasa kuwa mnalipotezea heshima jukwaa letu pendwa au ndio tuamini yanayosemwa na vijana wenzenu kuwa msipovuruga mijadala humu jukwaani mkono hauendi kinywani?.kama ndio hivyo wewe leo uongezwe posho walau ifike buku 10 maana kila mahari nikipita upo.
ndio maaana nawadharaaaaaauuuuuuuu
 
Wakuu, kampuni ya PAP ndio inayotuhumiwa kama "Legal Person" kwa kufanya jinai mbali mbali ikiwa ni pamoja na kujinyakulia isivyo halali umiliki wa IPTL. Lakini PAP ni "Sethi 50% na Simba Trust 50%"! Kwa nini kwenye mijadala bungeni na hata kwenye maazimio ya PAC na hata ya Bunge, huyu "Simba Trust" hatajwi kabisa? Ni kwamba hahusiki au ni vipi?

Swali zuri sana. Mwenye macho haambiwi tazama
 
ndio maaana nawadharaaaaaauuuuuuuu

Unajidharaulisha.sina muda wa kujibishana na wewe maana wewe upo kazini ngoja niongee na Nape au Mzee Tupa tupa wa Lumumba leo wakufikirie wakupe buku 10 maana umejitahidi sana kututoa kujadili jambo muhimu la wezi wa pesa za Taifa letu tunajibizana na mpuuzi mmoja ambae ujira wako ni buku 7 ambayo ili uipate ni lazima ututoe ktk kujadili lolote lile linalowahusu wanaokulipa.wenzenu wanapiga mabilioni nyinyi mnaambulia buku 7 huo si ni upuuzi kabisa halafu mnaitwa wasomi nyinyi ni sawa na toilet pepa tu mnatumika.mnauzi kabisa tena hovyo
 
Unajidharaulisha.sina muda wa kujibishana na wewe maana wewe upo kazini ngoja niongee na Nape au Mzee Tupa tupa wa Lumumba leo wakufikirie wakupe buku 10 maana umejitahidi sana kututoa kujadili jambo muhimu la wezi wa pesa za Taifa letu tunajibizana na mpuuzi mmoja ambae ujira wako ni buku 7 ambayo ili uipate ni lazima ututoe ktk kujadili lolote lile linalowahusu wanaokulipa.wenzenu wanapiga mabilioni nyinyi mnaambulia buku 7 huo si ni upuuzi kabisa halafu mnaitwa wasomi nyinyi ni sawa na toilet pepa tu mnatumika.mnauzi kabisa tena hovyo
areyou a double agent???
ongea na NAPE NA KINANA ili utoke kwenye ukiazi uwe gimbi.
i better be a statehouse toilet paper than being A SACOSS toilet paper.
hii nchi haiwezi hata siku moja kutegemea watu wa hulka na silka za viazi kama wewe ulivyo kiazi. no wonder CCM itatawala miaka 100 ijayo.
 
So sad. TANESCO kupitia serikali walikuwa na uwezo wa kupata mitambo ya kuweza kuzalisha umeme wa kutosha nchi nzima lakini haya majizi yakasema serikali haiwezi kufanya biashara.

Bila hizi capacity charge familia maskini kijijini ingeweza kutumia umeme wa sh 2,000/= kwa matumizi ya nyumbani ikiwemo kupikia kwa mwezi mzima na tungeweza kuokoa misitu yetu.

Viongozi wa serekali wanaua makampuni kwakisi gizio cha kushi dwa kujiendesha kwa faida. Alafu wanajiuzia hayo makampuni alafu ghafla yanakuwa na faida.
 
Haya yanawezekana Tanzania pekee.
Iko wazi wala hamna haja ya kutumia nguvu sana kujua ukweli wote, Simba Trust ni family ya JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Hii iko wazi mno. Basi hata kama hamna hatua zozote juu yake sababu ya kinga yake ni vema ikatambulika kuwa mkuu wa kaya kajimegea sehemu ya shamba la familia. Hii inawezekana Tanzania pekee!!!!

Meno unayo! Kucha unazo! Watakufuata tu!
 
Tatizo lenu bawacha mlitaka nchi iingie kwenye matatizo baada ya mipango yenu kushindwa mmebaki kupotosha na kujenga umbea.

Naona misukule wa lumumba mlivyorukia thread na kuandika upuuzi wenu huku mkipongezana kweli njaa mbaya.
 
jaribu kuangalia mleta uzi ni nani tafadhali...
Huyu Yericko Nyerere ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao hawastahili kupewa japo chembe ya nafasi bila kusimamiwa kooni na kuelezwa kinaga ubaga upumbavu walionao vichwani mwao.
kila habari anayoleta jamvini ni UZUSHI
ana chuki na watu na analitumia jukwaa kuwaumiza wakati anajua hawawezi kuja hapa na kujitetea.
ona jinsi anavyo spin taarifa za SIMBA TRUST kwa ajili tu ya kuumiza watu. hebu fananisha huu ujinga wake aliouleta kwenye post hii na ulinganishe na uharo aliopost last week kuhusu hii SIMBA TRUST kuwa ni mali ya watoto wa raisi KIKWETE..
Kumbuka jinsi alivyotumika kama karatasi ya kuchambia(toilet paper) kwenye mgogoro wa ZZK na chadema na jinsi alivyolitumia hili jukwaa kumsulubu kwa kutumia taarifa za uongo bila hata aibu.

huyu kwangu ni kibaraka na kibaraka hatakiwi apewe nafasi ya kupumua na kusambaza uvundo wa mihemko yake.
i did it with BEN SAANANE na sasa amekuwa adimu saaana jukwaani.
i will do with this pathetic snitch mpaka na yeye akimbie.
kama taifa tunahitaji watu wa kweli bila kujali itikadi zao. kiwango alichosulubiwa ZZK, haipaswi hata kidogo watu walewale leo wamtumie kwa malengo yao tena..
Poa mkuu nimekuelewa.
 
Kwanza tujiulize wamiliki wa SIMBA TRUST ni kina nani?
a)-Wake zao?
b)-Watoto wao?
c)-Wao wenyewe?

SIMBA TRUST na PAP wana uhusiano gani?

Taarifa zilizopo ni kua SIMBA TRUST anamiliki 50% ya share za PAP, may be if other conspiracies emerge over-night.
We all know what PAP has done to IPTL and the 326Billion TZS. Kwa nini serikali pamoja na PAC hawajaitaja SIMBA TRUST katika riport yao?. Wanaficha wamiliki au wanaficha 50% Share holding?. Najaribu jiuliza hatua moja mbele tu.

Nukuu za WABUNGE JE?..Any Clue..(THINK)

Quote ya Filikunjombe juu ya kumuwajibisha rais ni gharama, bora Waziri mkuu kwa kua tunamuweza na nchi haitatetereka..Isome tena, take a deep breath and re-think just a little bit. To me it sounds kuna Rais alikua kwa njia moja au nyingine anahusika. Japo najua sio yeye moja kwa moja basi walio karibu nae wanaweza kua wanahusika na SIMBA TRUST. (Just Thinking)....Read my 1st Question on top.

Misimamo ya Mawaziri kabla ya kuumbuka...

"Muhongo..PESA NI YA IPTL, Pinda...Pesa si ya Umma..sasa waliochangia sitaki hata wataja wakisema Pesa ni ya IPTL. Swali la msingi ni kujiuliza, Je? Walijua majibu ya swali langu hapo juu hivyo acting on the best interest ya kutunza heshima ya mheshimiwa mkuu wa nchi?. Just another conspiracy THEORY. Mwenye majibu sahihi ni nani?

MAPENDEKEZO YA KAMATI KUCHAKACHULIWA..

Wote twajua kamati ya PAC ilitoa mapendekezo mengi, out of which serikali ilitakiwa toa amendments. Na kwa mujibu wa sheria kama serikali imekaa kimya basi Spika anauliza kwa ajiri ya kupigia kura. Kama ulikua makini niandikie mapendekezo ambayo serikali haikubadilisha ila Spika akataka yachakachuliwe...Just thinking Out of Box.

THINK!
THINK....
 
Back
Top Bottom