JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 116
Ukila nyama ya mtu, hutahacha kamwe! TD alipiga pesa ya EPA kufadhili kampeni zake. Miaka michache baadae akagundua kuna "same loophole BoT" akaona apige tena!Huyo anaitwa Silent partner, kwa kawaida ni mtu ambaye anatumia fictitious names just as a hide out, ukiangalia trend jinsi AG alivyopigia kifua hawa PAP, hakuna shaka kabisa Simba trust atakuwa ndiye....nanii mwenyewe!.
Hata VIP sio JR, huyo JR yeye ni Front man tuu, wenye VIP ni wahindiABUBAKAR SOMJI,RIAZ SOMJI, ANIS MAMDANI & JAMES RUGEMALIRA=VIP ENGINEERING LTDPasco
This time ameamua kupiga 50% mwenyewe maana kwenye EPA walimzunguka akajiona mjinga. Lakini, ni mkuu gani wa kaya anayeona fahari kuiibia kaya yake simply b'cause kuna "loophole somewhere"?
Mambo mawili ni muhimu kufanyika:
1. Kutungwe sheria dhidi ya fedha zinazotunzwa BoT ili kuziba "loopholes" kama za EPA na ESCROW
2. AZAKI zioneshe kuwajali Watanzania kwa kufungua kesi ICC ili uchunguzi wa vyombo vya nje ufanyike na ikithibitika, basi TD apelekwe huko Nov. 2015.
TD amepiga sana fedha ya Watanzania!!