Kuna jingine linaitwa Ritz, tikiti majiAsante sana mkuu wangu kwakuwafunda hawa vijana
Ndio maana yake na ndio maana anataka wananchi waifahamu kwa undani, una swali lingine?Hahahahahaaaaaaa!mhekaya za Yeriko. Kwani si ulituambia kuwa Simba Trust inamilikiwa na Salama Kikwete na Miraji Kikwete?
Sasa kwa nini mnashambulia Yeriko? Si mzijibu hoja zake tu?Yeriko ni mganga njaa tu pale Kinondoni mtaa wa Ufipa
Upi ni mzizi kati ya hivyo viwili mkuuuking`oa mizizi matawi lazima yanyauke
Huyo anaitwa Silent partner, kwa kawaida ni mtu ambaye anatumia fictitious names just as a hide out, ukiangalia trend jinsi AG alivyopigia kifua hawa PAP, hakuna shaka kabisa Simba trust atakuwa ndiye....nanii mwenyewe!.Wakuu, kampuni ya PAP ndio inayotuhumiwa kama "Legal Person" kwa kufanya jinai mbali mbali ikiwa ni pamoja na kujinyakulia isivyo halali umiliki wa IPTL. Lakini PAP ni "Sethi 50% na Simba Trust 50%"! Kwa nini kwenye mijadala bungeni na hata kwenye maazimio ya PAC na hata ya Bunge, huyu "Simba Trust" hatajwi kabisa? Ni kwamba hahusiki au ni vipi?
Huyo anaitwa Silent partner, kwa kawaida ni mtu ambaye anatumia fictitious names just as a hide out, ukiangalia trend jinsi AG alivyopigia kifua hawa PAP, hakuna shaka kabisa Simba trust atakuwa ndiye....nanii mwenyewe!.
Hata VIP sio JR, huyo JR yeye ni Front man tuu, wenye VIP ni wahindiABUBAKAR SOMJI,RIAZ SOMJI, ANIS MAMDANI & JAMES RUGEMALIRA=VIP ENGINEERING LTDPasco
Kwa taarifa yako huyu Simba nyamaume mla ng'ombe na mbuzi wa watu ndiye mzizi mkuu na ndo maana haguswi kwa haonekani kwa macho, yanaonwa matawi tu.uking`oa mizizi matawi lazima yanyauke