Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Mmh basi ni wazi hujui mengi, lakini basi hebu tusaidie kuondoa utata juu ya Simba trust na hizi tuhuma zinaelekezwa kwa familia ya rais, nafahamu umahiri wako wa kuchimba mambo hebu chimbachimba na hili

Hana tofauti na akina Asumpta Mshama huyu
 
Hana tofauti na akina Asumpta Mshama huyu

Asumpa Mshama na Hawa ghasia...!!!! Hawa kina mama walikivua nguo chama chao kwa upuuzi walioungea bungeni last week

Imagine asumpa hata hajui kuwa kamati ya PAC asilimia 80 ya wajumbe wake ni kutoka chama chake, wawili hawa walikuwa wanapingana na findings za CAG, PCCB, TRA na PAC, walichokuwa wanafanya kwa umahiri mkubwa mno ni kumwaga mipasho, kejeli na vijembe kwa upinzani...! Niliwashangaa mno
 
Unapoteza mda wako mwingi kubisha kuliko kujifunza
Acha hadithi ambazo mtu yeyote anaweza kuchukua hiyo post akabadilisha majina, penye Jacob Zuma akaweka Joyce Banda, lilipo jina la Kikwete akaweka Mwanawasa halafu kusiwe na tofauti yoyote ile. Badala ya hadith, weka hapa viambatanisho. Watu wanaposema Tibaijuka alipewa 1.6 billion si tu PAC wamesema bali hata viambatanisho tumeviona. Hadithi zako ambazo wenye akili wameshaanza kukudharau muda si mrefu hata misukule wanaoamini kila kitu bila reasoning wataanza kukudharau. Weka hapa viambatanisho badala ya kujifanya wewe nii mtu wa nyeti wakati hujawahi kutoa evidence hata siku moja.
 
Kikwete kutawala nchi hii ni laana,na laana hii ni funzo mwenyezi Mungu ametupa Watanzania ili tuweze kujitambua na kujitathimini.
Kikwete kutawala ameanza siku nyingi kutuhujumu hasa kwenye umeme,1993 mtoto IPTL alizaliwa baba akiwa Kikwete,mipango yote kwenye umeme
energy sector ya nchi hii anaijua zaidi ya mtu yeyote ndani ya nchi hii na matatizo yote ya energy sector yameletwa na huyu mtu kwa maksudi tangu. 1993.
Kwahiyo
ndugu zangu Watanzania tuwe makini na aina ya watu tunaowaingiza madarakani kwa kura zetu.,
huyu jamaa TD alijipanga muda .mrefu kuwa rais wa nchi hii, infant he had a mission to ruin this country in whatever possible
way.ni mmoja wa watu waliofurahia kifo cha mwalimu.This guy had a mission na ameitimiza kwa 90%,kila kona Watanzania wanalia umaskini umetamalaki,bei za bidhaa hazishikiki,Uchumi umezorota,thamani ya pesa inaporomoka kila kukicha;
pengo la maskini na tajiri ni kama ahera na peponi,rushwa na wizi wa mali ya umma ni sawa na kunywa maji.
Watanzania tulifanya makosa,tujisahihishe ili tusirudie makosa.2015 tuwe macho na makini na aina
mtu atakayependekezwa
na hii satanic family.
I agree with you 100%. Tunaangushwa hasa na jeshi la police na JWTZ wanatumika kuhujumu wapiga kura. Pili wanawake eti huyu ni handsome kwa hiyo tumpe kura. Tupa taka kule kwa sasa hatutakubari ushoga.
 
simba trust ni ya jk family period....
 
Simba rust ni ya Habinder Singh na wanawe.

Wewe unayeyajuwa mengi weka hapa, mimi nasema Fuso mbili chakavu kwa millioni 600 kaziuza Mbowe kwa chadema.

Hii ni habari mpya kwakweli kumbe huyu singasinga hiyo nayo ni yake ila mgao kachukua CASH IN TRANSIT
 
Unapoteza mda wako mwingi kubisha kuliko kujifunza
ZZK is comming back to chadema.
na la kusikitisha ni kwamba mume wenu mbowe ndiye anayeomba ZZK arudi..
start parking your things.
kuwa kibaraka ni upumbavu na mwisho wa upumbavu ni fedheha.
 
ZZK is comming back to chadema.
na la kusikitisha ni kwamba mume wenu mbowe ndiye anayeomba ZZK arudi..
start parking your things.
kuwa kibaraka ni upumbavu na mwisho wa upumbavu ni fedheha.

1417437577431.jpg
 
ZZK is comming back to chadema.
na la kusikitisha ni kwamba mume wenu mbowe ndiye anayeomba ZZK arudi..
start parking your things.
kuwa kibaraka ni upumbavu na mwisho wa upumbavu ni fedheha.

Kwani Zitto alihama Chadema tangu lini?
 
Simba rust ni ya Habinder Singh na wanawe.

Wewe unayeyajuwa mengi weka hapa, mimi nasema Fuso mbili chakavu kwa millioni 600 kaziuza Mbowe kwa chadema.

Duuih! Pap ni ya Singasinga, Simba trust ni ya Singasinga, nk..... Hahaaa
 
ZZK is comming back to chadema.
na la kusikitisha ni kwamba mume wenu mbowe ndiye anayeomba ZZK arudi..
start parking your things.
kuwa kibaraka ni upumbavu na mwisho wa upumbavu ni fedheha.

Zitto hajawahi kutokuwa member wa Chadema, ila alikuwa na mgogoro na Chadema. Halafu kwa hizo taarifa, watakaoumia ni ACT ambao wanamsubiri Zitto kama turufu yao, sasa sioni sababu ya kuinanga Chadema.
Labda hufahamu Historia ya Mbowe na Zitto, hao walivyo ni kama baba na mwanawe, sasa kama kweli hilo lilifanyika mimi sioni jambo la ajabu hapo, kwani hata huyo Zitto mwenyewe anajua kama Chadema ni turufu yake ndio maana alikimbilia mahakamani alipotaka kufukuzwa.
Ova
 
Katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu, si ajabu Zitto kurudi kwa mzazi wake kisiasa ambae ni CHADEMA, bila CHADEMA asingekuwa leo anaishi Masaki,
 
Hahahahahaaaaaaa!mhekaya za Yeriko. Kwani si ulituambia kuwa Simba Trust inamilikiwa na Salama Kikwete na Miraji Kikwete?

Wee Tutusa andika kwa ufasaha au uwe na kumbukumbu unaposoma taarifa ya vidume, ukisoma kwa ufasaha sasa Yeriko anataka kuweka mambo 'hadharani'. soma ukiwa umetulia usiwe na haraka kama umewekewa pilipili ndani ya makalio.
 
Kwa mtu kama wewe usiyejuwa maana ya biashara hiyo kwako ni vigumu kukuingia, umeshafikia kikomo chako cha uelewa, Sikushangai.

Hivi Foxy hujawahi kuugua magonjwa ya akili kweli au hata tete kuwanga kali? Nina wasiwasi!
 
we nawe zitakuwa zimekuruka siyo bure unaandika umbea wako kila siku ndiyo maana unapuuzwa tu.

Anaapuuzwa kwa kuwa tumeamua ama makusudi au bahati mbaya kujitoa ufahamu kisa tofauti za kiitikadi. Wizi wa mali ya umma umaharamishwa popote pale duniani, na bahati mbaya hatuko kisiwani. Badala ya kulichukulia jambo alolileta kwa mapana yake na kujiridhisha ikiwa aliyoyaandika yana mashiko kiasi gani, uanataka tukuamini wewe kwa maandishi ya mstari mmoja tena kwa maneno mepesi mno. Tubadilike Itikadi tofauti isiwe nafasi ya mafisadi kukamua hazina yetu kwa manufaa yao binafsi. Tujitambue!
 
Duuuh leo nimefika ukomo??? Hahaaa pole dada

Siku nyingi sana ukomo wako tunaufahamu, toka siku ulipojiia aibu na kudai kuwa Nyerere ni baba'ko mzazi. Siku ile upeo wako ulijulikana.

Vipi ile mikanda uliotuahidi? umesahau?

cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom