Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Zitto hajawahi kutokuwa member wa Chadema, ila alikuwa na mgogoro na Chadema. Halafu kwa hizo taarifa, watakaoumia ni ACT ambao wanamsubiri Zitto kama turufu yao, sasa sioni sababu ya kuinanga Chadema.
Labda hufahamu Historia ya Mbowe na Zitto, hao walivyo ni kama baba na mwanawe, sasa kama kweli hilo lilifanyika mimi sioni jambo la ajabu hapo, kwani hata huyo Zitto mwenyewe anajua kama Chadema ni turufu yake ndio maana alikimbilia mahakamani alipotaka kufukuzwa.
Ova
mtakula sana uharo na matapishi yenu mwaka huu.
niliwaambia na ninarudia'' AKILI ZA ZZK NI MARA 1000 YA AKILI ZA ZOOOTE ZA WAFUASI WA CHADEMA PRO-MBOWE NA VIFARANGA WAO.''
mimi sijali kama anarudi chadema ama laa ila ninachokuhakikishia ni kwamba nitamfuata na kuwa mfuasi wake popote atakapoenda kwani ndiye mwanasiasa peke ambaye naweza nikweka matumaini ya nchi yangu mikononi mwake
 
Kwani Zitto alihama Chadema tangu lini?
hahahahahaaaaaaaaaaaaaa.
kibaraka na mzushi namba moja!!!
naona unaanza kujutia kauli na matendo yako. hata utubu kwa makalio. nakuhakikishia itakula kwako.
kila mchuma majanga hula na wakwao.
hahahahahaaaaaa
 
Hivi lile kundi la vichaa lililokuwa linatetea wizi wa ESCROW kwa nguvu kubwa liko sapi sasa? Au wamebadili motion baada ya chama kutamka kuwa hakitalinda wezi?

Nawashauri vijana, hata kama ni kutumika tumia na akili zako pia, ni aibu kubwa unapotumika kwa vitu ambavyo mwisho wake unadhihirika wazi.

cc Lizaboni, thatha, na gsu
 
kikwetu mshana ni BLACKSMITH(MUHUNZI)
pole sana

1417586369686.jpg
 
mtakula sana uharo na matapishi yenu mwaka huu.
niliwaambia na ninarudia'' AKILI ZA ZZK NI MARA 1000 YA AKILI ZA ZOOOTE ZA WAFUASI WA CHADEMA PRO-MBOWE NA VIFARANGA WAO.''
mimi sijali kama anarudi chadema ama laa ila ninachokuhakikishia ni kwamba nitamfuata na kuwa mfuasi wake popote atakapoenda kwani ndiye mwanasiasa peke ambaye naweza nikweka matumaini ya nchi yangu mikononi mwake

usiwaamini wanasiasa 'said zitto.amini katika itikadi,falsafa
 
hhahahahahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Afadhali ucheke tu upunguze stress manake tangu asubuhi kote ulikopita ulikuwa unatafuta mitifuano na wanajamvi ambao hukubaliani na mitazamo yao
 
usiwaamini wanasiasa 'said zitto.amini katika itikadi,falsafa
mtawa-quote kila aina ya wanafalsafa. lakini ninachoamini ambacho ndio ukweli, Hukumu aliyohukumiwa ZZK ni hukumu kubwa kabisa katika maisha ya mwanasiasa. kumbuka mlimhukumu kwa hukumu ya USALITI na kama chadema wangepewa haki ya kutekeleza hukumu hiyo kimatendo, ni wazi ZZK angenyo9ngwa hadharani hadi kufa kwani hiyo ndiyo hukumu sahihi kwa MSALITI.
mLITUANISHIA HAPA JINSI AMBAVYO ALICHANGIA KUPOROMOKA KWA CHADEMA KATIKA MKOA WA KIGOMA NA JINSI AMBAVYO CHADEMA KILISHINDWA UCHAGUZI KWENYE MITAA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE.
bila vibaraka wa mbowe kukiri kuwa walikuwa wanatumika na kuomba radhi watanzania na chadema kwa ujumla, katu hamtaweza kuaminika maana hata ZZK akirudi chadema, atarudi with different mentality na ni wachache sana miongoni mwa wana chadema atakaokuwa anawaamini. hilo loko wazi na endeleeni kumeza matapishi na uharo wenu. we are enjoying it badly
 
Nafikili kwa sababu nchi hii inaongozwa na JMK na kwa Sababu lazima taarifa na wamiliki wa kampuni mbalimbali ktk nchi yake kwa maslahi mapana ya nchi anawafahamu. Lazima atawataja wamiliki wa kampuni hiyo ya simba trust. Atafanya hivyo kuondoa wingu zito na sitamfahamu za nani mmiliki. Isitoshe hili si siri kama ilivyo mikataba ya gesi na madini.
 
mtakula sana uharo na matapishi yenu mwaka huu.
niliwaambia na ninarudia'' AKILI ZA ZZK NI MARA 1000 YA AKILI ZA ZOOOTE ZA WAFUASI WA CHADEMA PRO-MBOWE NA VIFARANGA WAO.''
mimi sijali kama anarudi chadema ama laa ila ninachokuhakikishia ni kwamba nitamfuata na kuwa mfuasi wake popote atakapoenda kwani ndiye mwanasiasa peke ambaye naweza nikweka matumaini ya nchi yangu mikononi mwake

notradamme umfanya spinning mbaya na kuharibu mjadala huu. Huu mjadala haumuhusu Zito hata kidogo inakuwaje yeye ajadiliwe !!? Anzisha uzi kama unataka Habari za Zito.
 
Last edited by a moderator:
notradamme umfanya spinning mbaya na kuharibu mjadala huu. Huu mjadala haumuhusu Zito hata kidogo inakuwaje yeye ajadiliwe !!? Anzisha uzi kama unataka Habari za Zito.
jaribu kuangalia mleta uzi ni nani tafadhali...
Huyu Yericko Nyerere ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao hawastahili kupewa japo chembe ya nafasi bila kusimamiwa kooni na kuelezwa kinaga ubaga upumbavu walionao vichwani mwao.
kila habari anayoleta jamvini ni UZUSHI
ana chuki na watu na analitumia jukwaa kuwaumiza wakati anajua hawawezi kuja hapa na kujitetea.
ona jinsi anavyo spin taarifa za SIMBA TRUST kwa ajili tu ya kuumiza watu. hebu fananisha huu ujinga wake aliouleta kwenye post hii na ulinganishe na uharo aliopost last week kuhusu hii SIMBA TRUST kuwa ni mali ya watoto wa raisi KIKWETE..
Kumbuka jinsi alivyotumika kama karatasi ya kuchambia(toilet paper) kwenye mgogoro wa ZZK na chadema na jinsi alivyolitumia hili jukwaa kumsulubu kwa kutumia taarifa za uongo bila hata aibu.

huyu kwangu ni kibaraka na kibaraka hatakiwi apewe nafasi ya kupumua na kusambaza uvundo wa mihemko yake.
i did it with BEN SAANANE na sasa amekuwa adimu saaana jukwaani.
i will do with this pathetic snitch mpaka na yeye akimbie.
kama taifa tunahitaji watu wa kweli bila kujali itikadi zao. kiwango alichosulubiwa ZZK, haipaswi hata kidogo watu walewale leo wamtumie kwa malengo yao tena..
 
Last edited by a moderator:
Afadhali ucheke tu upunguze stress manake tangu asubuhi kote ulikopita ulikuwa unatafuta mitifuano na wanajamvi ambao hukubaliani na mitazamo yao
wewe ni mfua vyuma na kwetu sisi wewe ni najisi.
ngoja nikupotezee
 
Yeriko umeanza kudharauliwa. Kama umefikia hatua ya kumnadi Kagame ndani ya ardhi ya Tanzania hakika umedharaulika sana

Nitakuwa wa mwisho kumdharau Yeriko, lakini kwa mtu kama wewe Lizaboni hata jiwe ambalo halizungumzi tayari linakudharau.
 
jaribu kuangalia mleta uzi ni nani tafadhali...
Huyu Yericko Nyerere ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao hawastahili kupewa japo chembe ya nafasi bila kusimamiwa kooni na kuelezwa kinaga ubaga upumbavu walionao vichwani mwao.
kila habari anayoleta jamvini ni UZUSHI
ana chuki na watu na analitumia jukwaa kuwaumiza wakati anajua hawawezi kuja hapa na kujitetea.
ona jinsi anavyo spin taarifa za SIMBA TRUST kwa ajili tu ya kuumiza watu. hebu fananisha huu ujinga wake aliouleta kwenye post hii na ulinganishe na uharo aliopost last week kuhusu hii SIMBA TRUST kuwa ni mali ya watoto wa raisi KIKWETE..
Kumbuka jinsi alivyotumika kama karatasi ya kuchambia(toilet paper) kwenye mgogoro wa ZZK na chadema na jinsi alivyolitumia hili jukwaa kumsulubu kwa kutumia taarifa za uongo bila hata aibu.

huyu kwangu ni kibaraka na kibaraka hatakiwi apewe nafasi ya kupumua na kusambaza uvundo wa mihemko yake.
i did it with BEN SAANANE na sasa amekuwa adimu saaana jukwaani.
i will do with this pathetic snitch mpaka na yeye akimbie.
kama taifa tunahitaji watu wa kweli bila kujali itikadi zao. kiwango alichosulubiwa ZZK, haipaswi hata kidogo watu walewale leo wamtumie kwa malengo yao tena..

Acha ushabiki na ujuha wa kwenu! Kusema kweli Yeriko kila uzi anaoleta 'umeshiba' na ni mtu makini tofauti na wewe FUNZA
 
Acha ushabiki na ujuha wa kwenu! Kusema kweli Yeriko kila uzi anaoleta 'umeshiba' na ni mtu makini tofauti na wewe FUNZA
WE DONT SHARE THE SAME LEVEL OF THINKING.. Trust me.
na hapa ndipo tunapolipendea jukwaa la JF kwani hata wewe unaweza kupata nafasi ya kubishana na mimi. hahahahahaaaaaaaaa.
kama huu upuuzi wa YERICKO NYERERE wewe unaona ni nondo zilizoshiba, basi ngoja nikuache maana mimi naweza kuwa AN ALIEN WHEN COMPARED TO YOU
 
Wakuu, kampuni ya PAP ndio inayotuhumiwa kama "Legal Person" kwa kufanya jinai mbali mbali ikiwa ni pamoja na kujinyakulia isivyo halali umiliki wa IPTL. Lakini PAP ni "Sethi 50% na Simba Trust 50%"! Kwa nini kwenye mijadala bungeni na hata kwenye maazimio ya PAC na hata ya Bunge, huyu "Simba Trust" hatajwi kabisa? Ni kwamba hahusiki au ni vipi?

Hapa ndio naAnza kuamini msema kweli sio lazima atende kweli.
 
Nafikili kwa sababu nchi hii inaongozwa na JMK na kwa Sababu lazima taarifa na wamiliki wa kampuni mbalimbali ktk nchi yake kwa maslahi mapana ya nchi anawafahamu. Lazima atawataja wamiliki wa kampuni hiyo ya simba trust. Atafanya hivyo kuondoa wingu zito na sitamfahamu za nani mmiliki. Isitoshe hili si siri kama ilivyo mikataba ya gesi na madini.

Yule mmiliki wa RICHMOND aliwaambiaje! Mbona mnakuwa wasahaulifu kiasi hicho au ulikuwa bado chekechea mkuu kipindi hicho!
 
Ninyi nyote mnaochangia thread hii kumbukeni siku zote "aisifiaye mvua imemyea", jichunguzeni kwanza mmenyewa na nani kati ya Simba trust au Bavicha? Hapo mtapata jibu, Ila pia LISEMWALO LIPO NA KAMA HALIPO LINAKUTA time will tell.
 
Back
Top Bottom