Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Nakubaliana na wewe GSU 100% CDM wambea sana, eti ooh EPA,mara sijui chenge na radar, mara wameibukia ASCROW,hawana lolote!!!! Hakuna wizi wala ufisad wowote, halafu nikuambie shost eti wanasema Raisi wetu dhaifu, umbea mtupu. Mbona zile za EPA tuliwarudishia zote, eti wanataka tuwe magerezani!! Hizi za juzi shost kwani we hukupita Stambic siku ile, yani nikuambie shostito, ilikuwa ukiingia tu mle ndani, unatoka na ama box au kiroba cha wekundu tupu mchana kweupe! Tungekuwa wezi si tungeenda usiku, yani shost bawacha kwa umbea!!!!!:confused2:
 
Wakuu, kampuni ya PAP ndio inayotuhumiwa kama "Legal Person" kwa kufanya jinai mbali mbali ikiwa ni pamoja na kujinyakulia isivyo halali umiliki wa IPTL. Lakini PAP ni "Sethi 50% na Simba Trust 50%"! Kwa nini kwenye mijadala bungeni na hata kwenye maazimio ya PAC na hata ya Bunge, huyu "Simba Trust" hatajwi kabisa? Ni kwamba hahusiki au ni vipi?

Hili ndio kosa kubwa walilofanya PAC;watajuta milele na kwa nini Waziri wa fedha na katibu Mkuu wake hawamo??!!!
 
Hili ndio kosa kubwa walilofanya PAC;watajuta milele na kwa nini Waziri wa fedha na katibu Mkuu wake hawamo??!!!

Zitto hana kawaida ya kumalizia kitu anachokianzisha, alijua fika Simba Trust ni ya Miraj na Salama Kikwete lakini ameuchuna tu.

Lakini waungwana si mnakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na uvumi mkubwa kuhusu Zitto kutaka kumuoa Salama Kikwete bahati mbaya akazidiwa kete na Albert Marwa, ni vema kuconnect dots
 
Zuma kaja na kutoka, hahahaa mwajua yaliyojiri??

Kwa maelezo ya JK ni kama Zuma alikuja bila taarifa ndio maana akaingilia ratiba za Kikwete, high offices kama Ikulu sio rahisi ziara kuingiliana na ratiba za shuguli za ndani. Coincidentally, alikuja Jumapili jioni
 
Yeriko umeanza kudharauliwa. Kama umefikia hatua ya kumnadi Kagame ndani ya ardhi ya Tanzania hakika umedharaulika sana
mapenzi yenu wekeni pembeni sisi tunataka ukweli,kama yeriko kadanganya means unaufahamu ukweli wa jambo hilo,coz mtu hukataa uongo kwa kutoa ukweli kuhusu jambo husika.
 
Zuma alikuja usiku na akaondoka lunch time siku ambayo JK anahutubia wazee wa DSM kama Kuna vidot hiv....
 
Zuma kaja kumpa moyo. Bring our money back zuma and JK

I guess ilikuwa ni kumshauri amfanyeje Tibaijuka (international figure with Escrow scandal!) na nini kinaweza kutokea baada ya kuchukua hatua kama alizofanya jana. Tunasubili tu reaction ya Tiba....baadae Muhongo kama hatauawa akiendelea na ukaidi wake wakutaka kumwaga mboga.
 
I guess ilikuwa ni kumshauri amfanyeje Tibaijuka (international figure with Escrow scandal!) na nini kinaweza kutokea baada ya kuchukua hatua kama alizofanya jana. Tunasubili tu reaction ya Tiba....baadae Muhongo kama hatauawa akiendelea na ukaidi wake wakutaka kumwaga mboga.

Pamoja na vitisho migomo na mbwembwe zote za ccm sasa makada wao wamejiuzuru. Hii haitoshi tunataka sheria ichukue mkondo wake
 
Back
Top Bottom