Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Tunalazimika sasa kuifahamu SIMBA TRUST

Wanyarunda walisema hili kikwete alituma jeshi kulinda maslahi yake kumbe na zuma yuko?
 
Hahahahahaaaaaaa!mhekaya za Yeriko. Kwani si ulituambia kuwa Simba Trust inamilikiwa na Salama Kikwete na Miraji Kikwete?

Mkuu, Yeriko ameshasahau kuwa alitudanganya kuwa hiyo kampuni ni ya familia ya Kikwete

Huo ni mtazamo wako. Mmekuwa madalali wa nchi za magharibi

Yeriko umeanza kudharauliwa. Kama umefikia hatua ya kumnadi Kagame ndani ya ardhi ya Tanzania hakika umedharaulika sana

Uliposema inamilikiwa na Miraji Kikwete na SALAMA KIKWETE ulikuwa unataka kumfurahisha nani?

Yeriko tapeli huyu, akaja na mbwembwe nyingi kuhusu mmliliki wa Simba Trust , leo tena bila aibu anakuja na swaga zile zile. Anataka kufunika uongo wake

Sina sababu ya kujifunza kutoka kwa fedhuli na muongo. Juzi umetuambia vingine kuhusu hiyo Simba Trust na leo unaleta hekaya zingine

Yeriko ni mganga njaa tu pale Kinondoni mtaa wa Ufipa

Mada yako ya Simba Trust imekushusha thamani kabisa, iombe radhi kwanza familia ya rais, ndiyo uje na maneno yako ya vijiweni tena

we nawe zitakuwa zimekuruka siyo bure unaandika umbea wako kila siku ndiyo maana unapuuzwa tu.

Tatizo lenu bawacha mlitaka nchi iingie kwenye matatizo baada ya mipango yenu kushindwa mmebaki kupotosha na kujenga umbea.

Mbona mnaweweseka? Mbona mnakubali kuwa kama mazuzu? Mna maslahi gani kwenye wizi wa pesa za umma?
Ova
 
Si afadhali Paul Kagame alikuwa anaikamua Congo anajenga nchi yake,sasa hawa kina JK na Zuma wanatumia majeshi yetu kwa faida zao binafsi,shame.
 
Kikwete ndio katufikisha hapa. Hili hakuna Na mjadala jamani.
 
Yerico hebu tupe mwanga zaidi, weka link tufatilie wenyewe maana nimejaribu kutafuta habari za Simba trust na Jacob Zuma naona sizipati mtandaoni.
 
Hamjamuelewa Yericko Nyerere vizuri,Simba Trust inamilikiwa na Familia ya Sultan,Mvuta bangi miraji amekana basi itakuwa inamilikiwa na Vasco da gama...."Usije kuta tunayepambana nae ndio tumemtanguliza mbele"
 
Last edited by a moderator:
Kampuni hii inayomiliki hisa 50% kwenye kampuni ya PAP iliyonunua hisa zote za IPTL iliyoliingiza taifa kwenye hasara ya trilioni moja nukta nane hilo ni sehemu ya sababu ya watz kulazimika kuifahamu.

Tutumie mda wetu kwa maslahi mapana ya taifa letu kuitafuta Simba Trust na umiliki wake na biashara zake hii ni baada ya wale niliowataja wiki juzi kukanusha umiliki huo, ili tujue tunayepambana nae ni nani? isije kuwa ndie tuliyemtanguliza vitani..
I'm I dreaming?. Hivi sio wewe ulikuja humu kutuambia Simba ni ya nani?!, leo unarudi tena kuuliza?!.
Hata hivyo, nakuunga mkono, wewe ni miongoni wa wale mashujaa wachache sana wa jf, wenye ujasiri na guts za leo kusimama na kushika karatasi nyeusi na kutuaminisha ni nyeupe, na tukakukubalia, kisha kesho yake ukaja na karatasi ile ile ya jana na kutuambia sasa ni nyeusi na bado tukakusikiliza na kukubalia!.

Kitu ambacho ninakukubali ni kipaji chako cha utungaji, uwezo wako unafanana sana na yule mwandishi wa Jason Bourne!.

Hongera.
Pasco
 
I'm I dreaming?. Hivi sio wewe ulikuja humu kutuambia Simba ni ya nani?!, leo unarudi tena kuuliza?!.
Hata hivyo, nakuunga mkono, wewe ni miongoni wa wale mashujaa wachache sana wa jf, wenye ujasiri na guts za leo kusimama na kushika karatasi nyeusi na kutuaminisha ni nyeupe, na tukakukubalia, kisha kesho yake ukaja na karatasi ile ile ya jana na kutuambia sasa ni nyeusi na bado tukakusikiliza na kukubalia!.

Kitu ambacho ninakukubali ni kipaji chako cha utungaji, uwezo wako unafanana sana na yule mwandishi wa Jason Bourne!.

Hongera.
Pasco

Pasco Msome vizuri Yericko,Simba Trust ni Ya Familia ya kikwete.
 
I'm I dreaming?. Hivi sio wewe ulikuja humu kutuambia Simba ni ya nani?!, leo unarudi tena kuuliza?!.
Hata hivyo, nakuunga mkono, wewe ni miongoni wa wale mashujaa wachache sana wa jf, wenye ujasiri na guts za leo kusimama na kushika karatasi nyeusi na kutuaminisha ni nyeupe, na tukakukubalia, kisha kesho yake ukaja na karatasi ile ile ya jana na kutuambia sasa ni nyeusi na bado tukakusikiliza na kukubalia!.

Kitu ambacho ninakukubali ni kipaji chako cha utungaji, uwezo wako unafanana sana na yule mwandishi wa Jason Bourne!.

Hongera.
Pasco


Baada ya sakata la Escrow, sasa umeonyeha rangi yako halisi kaka, psychic power na mafisadi wapi na wapi?
 
I'm I dreaming?. Hivi sio wewe ulikuja humu kutuambia Simba ni ya nani?!, leo unarudi tena kuuliza?!.
Hata hivyo, nakuunga mkono, wewe ni miongoni wa wale mashujaa wachache sana wa jf, wenye ujasiri na guts za leo kusimama na kushika karatasi nyeusi na kutuaminisha ni nyeupe, na tukakukubalia, kisha kesho yake ukaja na karatasi ile ile ya jana na kutuambia sasa ni nyeusi na bado tukakusikiliza na kukubalia!.

Kitu ambacho ninakukubali ni kipaji chako cha utungaji, uwezo wako unafanana sana na yule mwandishi wa Jason Bourne!.

Hongera.
Pasco

Mkuu Pasco, mimi ni muamini wa falsafa ya nera, ni vigumu sana kunielewa barabara!!
 
Last edited by a moderator:
Lizaboni, thatha, na gsu nawaomba myakumbuke maneno haya ya Albert Einstein "Any fool can make things bigger, more complex,and more violent. It takes a touch of a genius-and a lot of courage- to move in the opposite direction."

Jichunguzeni, kwanini mwaamua kujifanya "wapumbavu".

Mkuu Umetoa fundo la maana........
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kwa uzi huu wenye kufikirisha , sisi wenye uwezo mkubwa tumekuelewa.
 
Back
Top Bottom