🤣🤣🤣 Inaumiza sana aiseeKuna siku nilikuwa kikombe halafu wife akaanza kuniletea mdomo kuhusu gambe ebanae nikamfungukia kwa hasira za maji vile vile "kwanza shukuru Mungu siku nakutongoza nilikuwa nimekunywa" unadhani ningekuwa timamu ningekutokea?!
basi ugomvi ukaishia palepale.
Sana aisee ukiingiza kama de libolo imeingia kwenye oven😅😅😅 anajilia black beauty.. wana joto hao
Hahahaa mnaona sasa mnavyotusimangaBasi Kuna introvert mmoja tunakaa nae jirani jamaa Kwa kifupi ni zuzu mnyonge sana na always anajikuta Yuko serious kinyama
Kuna pisi alikua anaielewa kinoma kila siku anaomba viberiti vya kuchomoa udi wa mbu😂😂 kumbe anakosa sounds za kuomba adi namba baada ya kuona akiteseka ikabidi nimoe contact ya yule manzi ndo akamaliza mchezo mpaka Leo ninavoongea manzi imetoka kumfulia hapa huku yeye akiwa kazini.
NB MANZI INAFANYIA MAABARA HAPA HC😂😂
NAKALA IKUFIKIE Mzee wa kupambania
Mshamba mshamba_hachekwi
To yeye
Nya za wakimya wenzetu 🤭😅Kama wakimya ndo watafuna nnya ...haki tena Bora wakali
tuko pamoja mama nanihiiiii😩Wewe umenielewa vizuri sana...hakuna neno litokalo lisilo na maana
Mama wewee hapo dk 3 nyingi lazima wadhungu wachomoke chap kwa harakaAfu uwe na ugwadu wa kitambo🤭
Ndio 😅 introverts tunasaidiana🤣🤣🤣Kumbe
na ukute key ina super glue alafu inafyonzaaa banaaa eeer hatarii 😅😅😅Sana aisee ukiingiza kama de libolo imeingia kwenye oven
Hakuna namna😩ishakua imekua😊🤣🤣🤣🤣Nimecheka kweli 🙌
PM au 😊😊Njoo upate tuisheni hapa
vipi kuna patex au super pro glue 😅😅😅🤣🤣🤣🤣🙌