Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,084
- 122,429
Hahaaa. Kabisaaaaaa.Tuutie kwenye dustibin kabisa
Hahaaa. Kabisaaaaaa.Tuutie kwenye dustibin kabisa
Ndio fanya ivo , i hope you'll like it !!Haha.. Baby
Ukweli mtupu my dear..wanawake yatupasa tuamke jamaniKweli mwaya kukaa tu na kukubali kuwa goolkeeper basi utashiba masimango sababu kila utakachohitaji lazima uombe na kuomba kuna mawili kupewa na maneno juu au kutokupewa kabisa.
Tuamkeni tu kwa kweli kwa kutafuta vya kwetu. Vyao hatuvikatai ila viwe ziada.
Hahahaaa. Anaishi kwa mazowea lol.Ukweli mtupu my dear..wanawake yatupasa tuamke jamani
Kuna mwanamke uku mtaani akiomba pesa kwa mumewe hadi majirani twajua loh! Atachambwa yeye na familia nzima ndipo apewe pesa.. Na alivyozuzu sasa hana akili ya kusema atafute.. Ukimuuliza anajibu "nimeshamzoea mie"
Yeye hana hiyo akili hata kidogo.. Anavyotukanwa na kusimangwa ye ajionea sawa tuHahahaaa. Anaishi kwa mazowea lol.
Huyo mpaka akikumbuka shuka kumeshakucha. Ningekuwa mie nisingeweza jamaani.
Yaani ningeshajitafutia shughuli ya kufanya.
Hahaaaa. Pole kwake kwa kweli.Yeye hana hiyo akili hata kidogo.. Anavyotukanwa na kusimangwa ye ajionea sawa tu
Shukran ndguSiku ya jumatano..Saa tano na Dk 20
Hahahaaa. Lol.
Hivyo ule usemi wa mapenzi upofu tuutupe kule si eti eee?
MazuzuNdio kwanza wanaendelea kutoa papuchi
Genye likiwazidi wanatoa tu hawana namnaMazuzu
Umeonaeee. Haiwezekani kuwa na mahusiano yaliyo sawa na kitunguu maji kila ukikikata machozi hayakosekani.Upofu! Mtu anakuumiza kila siku wewe upo tu ni ngumu kwakweli.
Umeonaeee. Haiwezekani kuwa na mahusiano yaliyo sawa na kitunguu maji kila ukikikata machozi hayakosekani.
Huyo shosy akili zake anazijua mwenyewe kwa kweli.Thats exactly my dada.
Kuna shost mmoja huku alienda hadi benki kukopa amhonge mwanaume ili pendo lishamiri lkn kilichofuata baada ya hapo ni maumivu.
Mapenzi yanatoka moyoni ukiona hupendwi kimbia wala usigeuke nyuma.
Naomba ufafanuzi kidogo hapa..bila kusahau kumshirikisha MUNGU kwa kila jambo
Angepimwa akili...mwenye akili timamu hawezi fanya huo ujingaThats exactly my dada.
Kuna shost mmoja huku alienda hadi benki kukopa amhonge mwanaume ili pendo lishamiri lkn kilichofuata baada ya hapo ni maumivu.
Mapenzi yanatoka moyoni ukiona hupendwi kimbia wala usigeuke nyuma.
AiseeeGenye likiwazidi wanatoa tu hawana namna