mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Hapo napo umenena mkuu
na hii kwa sababu mnapenda kusikia uwongo zaidi ya ukweli. Ukisema uwe mkweli kabisa kutoka moyoni utaishia kupiga punyeto tuHapo napo umenena mkuu
na hii kwa sababu mnapenda kusikia uwongo zaidi ya ukweli. Ukisema uwe mkweli kabisa kutoka moyoni utaishia kupiga punyeto tuNa kweli suluhu ni kuachana tu hapo..kujipa jakaa La moyo kisa nn!!Ukiona mtu anakufanyia makusudi unaachana naye ,kuliko kugeuka kua mshumaa !!.
Kama mimi, naupenda sana moyo wangu. Maana ndio kila kitu. Sasa eti itokee mwanamke anipe changamoto inayofanya hata chakula nikione kichungu?? Weee na kasema ? Navyopenda kula ivi??? Wengine shugul zetu zinatumia akili sana kuliko nguvu, bado unichanganye akili??
Hapo nakataa ndomaana kuna kasheria kangu nasemaga " mwanamke ,kukupenda nitakupenda mpaka ujishangae lakini pia naweza kuishi bila wewe ikiwa tu atanipa nyakati ngumu"
Hahahah ndio nature yetu mkuu..kwetu bora uongo mtamu kuliko ukweli mchungu![]()
![]()
na hii kwa sababu mnapenda kusikia uwongo zaidi ya ukweli. Ukisema uwe mkweli kabisa kutoka moyoni utaishia kupiga punyeto tu
Basi inabidi ukubaliane na matokeo aiseeHahahah ndio nature yetu mkuu..kwetu bora uongo mtamu kuliko ukweli mchungu
Very simple na nimekuelewa sana mkuuunawezaje kumpa mtu moyo wako...si utakufa....au sijaelewa??
kujitambua kwa wanawake ni jambo la msingi sana......tatizo ila sio wote....wanadhani kujitambua ni kukwepa wanaume....utamkwepaje mtu mume wakati ndie aliekutoa ubavuni mwake......kikubwa ni kuthaminiana na kuheshimiana....asante
Haha.. KwakweliBasi inabidi ukubaliane na matokeo aisee
Hilo halina ubishiHata mwenye rambo alikua bikra
Na ndio maana nimewakumbusha hao wanaolizwaNa kujitambua kunakujaga ukishakuwa umelizwa
Habar yakoNa ndio maana nimewakumbusha hao wanaolizwa
Nzuri..za kwakoHabar yako
Nzur pia, tunalala saa ngapiNzuri..za kwako
Sasa hiviNzur pia, tunalala saa ngapi
Saanaa,.mwanzo acha uitwe mwanzo tuu.Ishu ipo kwenye kumtambua kuwa ataudhamini moyo wako au laah maana mwanzoni huwa tuna kauli nzuri sana