Tunakumbushana tu

Tunakumbushana tu

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
Wanaume tunatakiwa kuishi nao kwa akili ya hali ya juu sana maana hawaeleweki hawa viumbe ni shida tu.
Kwakweli..na wakikupenda waweza on dunia yote yako subiri sasa wabadilike waweza hisi ulikua unadate na mnyama
 
Bila kuwepo hivo vitofaut basi mahusiano yasingekua namaana na yangekua yanachacha mapema sana.

Changamoto zipo kutuimarisha ...ila zipo changamoto zinazotokana na maudhi ambayo yanaboa ,hayo hata mimi siyataki.
Sawa changamoto zipo lakini kuna changamoto nyingine uwiiiiii ni za makusudi na hazivumiliziki
 
Ishu ipo kwenye kumtambua kuwa ataudhamini moyo wako au laah maana mwanzoni huwa tuna kauli nzuri sana
Apo napo utulivu akilk na busara huitajika kumjua..yupo ni sahihi na yupi ni fake
 
Safi halafu mambo ya kujitoa ufahamu wa kumpenda asiekuthamini yalishapitwa na wakati.
Kabisa yani... kuna mwngne anayaona hayo kabla ila kuna kale ka imani atabadilika tu...kujidanganya tu
 
Sawa changamoto zipo lakini kuna changamoto nyingine uwiiiiii ni za makusudi na hazivumiliziki
Ukiona mtu anakufanyia makusudi unaachana naye ,kuliko kugeuka kua mshumaa !!.

Kama mimi, naupenda sana moyo wangu. Maana ndio kila kitu. Sasa eti itokee mwanamke anipe changamoto inayofanya hata chakula nikione kichungu?? Weee na kasema ? Navyopenda kula ivi??? Wengine shugul zetu zinatumia akili sana kuliko nguvu, bado unichanganye akili??


Hapo nakataa ndomaana kuna kasheria kangu nasemaga " mwanamke ,kukupenda nitakupenda mpaka ujishangae lakini pia naweza kuishi bila wewe ikiwa tu atanipa nyakati ngumu"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom