Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Ahsante wifi kutukumbusha,.inshaAllah mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwenye mapito yetu.
Siku ya jumatano..Saa tano na Dk 20Me naomba kma kuna m2 anaye kumbuka mabomu ya mbgla yali lipuka cku gni na muda gni??
AiseeeeUmewahi kumpenda mtu hadi akijamba Unasema Asanteeee?? Acha kabisaaaa aiseeee! Wewe Uko Dar yeye Moro but utatamani Uwe nae kila dakika....
BabySiku ya jumatano..Saa tano na Dk 20
Ameeeen wifiAhsante wifi kutukumbusha,.inshaAllah mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwenye mapito yetu.
Hahahaaa. Lol.Safi halafu mambo ya kujitoa ufahamu wa kumpenda asiekuthamini yalishapitwa na wakati.
Abee honeyBaby
Kaka umepaona hapo tu jamaani lol.kumbe wengine wana maramboo, aiseeeee
Swadaktaa.. Hakuna kitu kizuri Kama mwanamke kua mtafutaji...yanini kusubiri masimango na umepewa akili na utashi...uko sahihi dearAhsante sana mwaya. Maneno mazuri kabisa mwaya.
Na mie nakazia kwa kusema tujitambue na kujua thamani yetu bila kusahau wanawake, tuwe watafutaji ili tutumie vya kwetu na sio kutegemea vya wanaume ambavyo vingi vinamasimango.
Tuutie kwenye dustibin kabisaHahahaaa. Lol.
Hivyo ule usemi wa mapenzi upofu tuutupe kule si eti eee?
Leo niijumaa, unajua you are so beautiful,... That, just want to be inside you the all day.Abee honey
Poa poaTunalifanyia kazi mkuu
Kweli mwaya kukaa tu na kukubali kuwa goalkeeper basi utashiba masimango sababu kila utakachohitaji lazima uombe na kuomba kuna mawili kupewa na maneno juu au kutokupewa kabisa.Swadaktaa.. Hakuna kitu kizuri Kama mwanamke kua mtafutaji...yanini kusubiri masimango na umepewa akili na utashi...uko sahihi dear
Haha.. BabyLeo niijumaa, unajua you are so beautiful,... That, just want to be inside you the all day.
Sasa fanya ivi, pangilia ratiba zako ,then nikuone.