Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,427
- 85,872
Last week kulitokea kutofautiana kati ya Mkurugenzi aliyedai mafuta yaliyopo yatatosha kwa 14 days only, ghafla akarukiwa kama kifaranga na mwewe! Ndugu January akakanusha vikali mno hadi kutishia kumuwajibisha Mkurugenzi.
Kwa mtazamo wangu, naona Mkurugenzi alikua sahihi maana January "katudanganya" hata juzi kati kuwa kukatika kwa umeme ilitokana na Scheduled maintenance ila baadae Tanesco wakaongea lugha tofauti na Waziri wake...haaminiki tena.
Tuambiwe ukweli, tuna mafuta au hatuna? Wenzetu wa Dar mmeona meli zozote zikitia nanga au tusubirie hadi siku 14 ziishe ndio tuchague wa kumwamini?
Kwa mtazamo wangu, naona Mkurugenzi alikua sahihi maana January "katudanganya" hata juzi kati kuwa kukatika kwa umeme ilitokana na Scheduled maintenance ila baadae Tanesco wakaongea lugha tofauti na Waziri wake...haaminiki tena.
Tuambiwe ukweli, tuna mafuta au hatuna? Wenzetu wa Dar mmeona meli zozote zikitia nanga au tusubirie hadi siku 14 ziishe ndio tuchague wa kumwamini?