Tunahitaji kujuzwa kuhusu hali ya Mafuta nchini

Mkuu Brazaj yaani leo Komredi wako Lema anamkumbuka kwa mazuri kipenzi chetu JPM?!!!😳😳🤣🤣

Chambilecho wahenga waso haya na miji yao!!!!

Muhimu kumwelewa Lema kabla ya kumnukuu out of context. Kumbuka Lema ni mwana maono.

Lema kuhusiana na maji na umeme anasema:

1. Awamu ya tano ilipuuzia uwekezaji sahihi kwa ajili ya maji na umeme.
2. Hata hivyo anasema Lema ni kweli hakukuwa na upungufu wa maji au umeme awamu ya tano:





3. Kwamba hapa kuna mapya na changa la macho katika awamu ya sita? Huenda limo:

IMG_20211118_181728_474.jpg


IMG_20211119_155159_079.jpg


IMG_20211119_154513_412.jpg


Ninadhani Lema ni consistent.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom