Mkuu Brazaj yaani leo Komredi wako Lema anamkumbuka kwa mazuri kipenzi chetu JPM?!!!😳😳🤣🤣
Chambilecho wahenga waso haya na miji yao!!!!
Muhimu kumwelewa Lema kabla ya kumnukuu out of context. Kumbuka Lema ni mwana maono.
Lema kuhusiana na maji na umeme anasema:
1. Awamu ya tano ilipuuzia uwekezaji sahihi kwa ajili ya maji na umeme.
2. Hata hivyo anasema Lema ni kweli hakukuwa na upungufu wa maji au umeme awamu ya tano:
3. Kwamba hapa kuna mapya na changa la macho katika awamu ya sita? Huenda limo:
Ninadhani Lema ni consistent.
Au nasema uongo ndugu yangu?