Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,937
Kumbe alikuwa magereza, mpe poleKumbe umerudi, nilikuwa nakusengenya najua haujarudi bwana!!
We ban kila siku unawafanya nini mods?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe alikuwa magereza, mpe poleKumbe umerudi, nilikuwa nakusengenya najua haujarudi bwana!!
We ban kila siku unawafanya nini mods?
Pole sana karibu tenaMods wananizimia tu style zangu, kumbe nikiwa ban unaniponda eeh
Sante sana nimekaribia nipe story za town
Tutakuwa tunawatazama usoni kabla ya kula, ukionyesha wasi wasi tu, hapo panakuwa si pazuri kwa kulaUtawaogopa mpaka wapi kiu itakushika tu lazima utafute maji labda uache kula haaa haaa haaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tiba ni nini?Misukosuko ya mahusiano
Amina sana mama mtumishi.Tuombee sisi wadhambi ili tuache Upuuzi huo.
Amina sana mama mtumishi.Tuombee sisi wadhambi ili tuache Upuuzi huo.