Tunafanyiwa ulozi sana kwenye mahusiano

Kuna dada huwa nimezoea kumtania alinipa orodha ya jamaa tunao fanya nao kazi walio tengenezwa na wake zao (ni wamama wa nyumbani) duu na ukiwacheki washkaji wamepoa kinoma wanashinda nyumbani tu wakitoka job yaani ni zaidi ya makondoo,wanaume tunalishwa matakataka sana na hawa viumbe tulio watoa ubavuni.
 
Kuna dada huwa nimezoea kumtania alinipa orodha ya jamaa tunao fanya nao kazi walio tengenezwa na wake zao (ni wamama wa nyumbani) duu na ukiwacheki washkaji wamepoa kinoma wanashinda nyumbani tu wakitoka job yaani ni zaidi ya makondoo,wanaume tunalishwa matakataka sana na hawa viumbe tulio watoa ubavuni.
Ni wakuogopa hawa watu
 
Kuna dada huwa nimezoea kumtania alinipa orodha ya jamaa tunao fanya nao kazi walio tengenezwa na wake zao (ni wamama wa nyumbani) duu na ukiwacheki washkaji wamepoa kinoma wanashinda nyumbani tu wakitoka job yaani ni zaidi ya makondoo,wanaume tunalishwa matakataka sana na hawa viumbe tulio watoa ubavuni.
Hahahahah hao wazee wa ndio mzee
 
Hiz stori za uwanga zinanikumbusha stori ya jamaa yetu mmoja bana alipataga mchepuko wa kitanga. bidada kawiva vzuri km maharagwe yale ya njano. sasa jamaa akashangaa akiwa na mchepuko anapiga mashuti na darizi kama zote ila sasa akirudi nyumbani mambo yanakuwa doro si kawaida (mnara hausomi hata chembe) ila akisema tu aende kwa ule mchepuko ebwanaee litapigwa ligwaride hata la usiku kucha. Jamaa akaona ndoa yake inaelekea mashakan akafanya maamuzi magum akampiga chini fasta yule mchepuko kuinusuru ndoa yake. haya mauchawi yapo pandugu.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom