FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,286
- 41,080
Je, ina maana binadamu anaweza kuishi bila kula nyama, mayai, wala maziwa na akapata protein zote anazohitaji toka kwenye vyakula vya mimea (vegetable based)?
Wape faida wasomaji juu ya ‘metabolism’ na jinsi inavyojibu hoja, ahsanteHapo ndipo lazima ujue Mungu ni zaidi ya mwanasayansi farisi & hodari. Metabolism unaijua!???
Inawezekana. Additionally, kuna essential proteins zisizopatikana kwenye wanyama, mpaka ule mimeaJe, ina maana binadamu anaweza kuishi bila kula nyama, mayai, wala maziwa na akapata protein zote anazohitaji toka kwenye vyakula vya mimea (vegetable based)?
Nasikia hii dhana ya kupata protein toka kwenye nyama na maziwa ilipewa msukumo mkubwa sana na makapuni ya uchakataji nyama ya ng’ombe na kuku huko Marekani ili kuongeza mauzo, walifanikiwa sana..Inawezekana. Additionally, kuna essential proteins zisizopatikana kwenye wanyama, mpaka ule mimea
Kwani hujawahi kwenda shule kabisa? Ujifunze protini JF?Niko hapa kujifunza
Inawezekana kabisa fatilia maisha ya watu ambao ni VEGETARIANS hawali nyama ila bado wana afya teleJe, ina maana binadamu anaweza kuishi bila kula nyama, mayai, wala maziwa na akapata protein zote anazohitaji toka kwenye vyakula vya mimea (vegetable based)?
Kumbe yanayofundishwa humu JF ni yale tu yaliyoskipiwa skulini!??? Jane Lowassa is officially misusing or abusing her rare & once coveted, admirable intelligence.Kwani hujawahi kwenda shule kabisa? Ujifunze protini JF?
Labda kichwa chakoUzi wa moto huu
Vichwa vinawaka moto
Good thinking out of the boxJe, ina maana binadamu anaweza kuishi bila kula nyama, mayai, wala maziwa na akapata protein zote anazohitaji toka kwenye vyakula vya mimea (vegetable based)?
Kujifunza ninakokumaanisha ni kwanini sisi tunaambiwa tukila chakula kisicho na mafuta tunapatwa na kweshakoo ilihali wanyama walao majani peke yake hawapatwi na hiyo kweshakoo?Kwani hujawahi kwenda shule kabisa? Ujifunze protini JF?
Wameumbwa hivyoKujifunza ninakokumaanisha ni kwanini sisi tunaambiwa tukila chakula kisicho na mafuta tunapatwa na kweshakoo ilihali wanyama walao majani peke yake hawapatwi na hiyo kweshakoo?