Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,639
Duh bro.... Haukusoma biology primary na secondary?! Unajua hayo ni masomo muhimu sana ambayo ndio yanakupa ufahamu juu ya maisha..Je, ina maana binadamu anaweza kuishi bila kula nyama, mayai, wala maziwa na akapata protein zote anazohitaji toka kwenye vyakula vya mimea (vegetable based)?