Tunaambiwa tule nyama na maziwa tupate protein; Je, ng’ombe hutoa wapi hizo protein na hali nyama wala kunywa maziwa?

Moderator futen na huu uzi pia ni utopolo mtupu maswal ya namna hii ukiwaza unaweza kujiona genius kumbe hamna kitu

Kuna vitu ni natural resource kuhoj vimetokea wap na nan kaviweka ni Kupoteza nda wa wadau
 
Mnasemaga ooh.sasa nimesoma logarithm itanisaidia nin maishan...etc

Wengne ooh chemistry itanisaidia nin maishan..sasa ungesoma chemistry ya form 1 tu ungeweza jijibu mwenye mfano mdogo tu ambao ni simpo kabisa

Chuma + maji=rust
2H +O=H20 balance charges mwenyew

Kwahyo chochote kinawezekana

Ndomana nasemaga..alieumba hii dunia si mchezo..ni zaid ya mwanasayansi.ni zaid ya genius..ni zaid ya chochote...na hakosei ..yuko very precise na accurate katika project zake..yaan huyo Mungu mambo anayoyajua siwez hata imagine...ni level nyingne
Sasa wewe Napoleone & Napoleon Jr ungemjibu kistaarabu kama hapo mwishoni ungepungukiwa nini!??? Au unahofia kuluz Dola ya Ufaransa!??? Nilijuaga ulishabadilika ile kitambo tu baada ya kunyang'nywa ufalme!???
 
Anabolism ya wanyama na binadamu haifanani per se..Mfano ng'ombe anaweza kupata essential amino acids kutoka kwenye majani lakini binadamu hatoweza kula majani hayohayo na kutengeneza hizo assential amino acids..inampasa atumie intermediate (ndo huko kula nyama na maziwa,mayai n.k)..Hii inaletwa na kuwa na enzyme wanaoweza kufacilitate hili..

mfano,enzyme wa kuvunja cellulose yupo kwa ng'ombe lakini kwa binadamu hayupo
 
Nasikia hii dhana ya kupata protein toka kwenye nyama na maziwa ilipewa msukumo mkubwa sana na makapuni ya uchakataji nyama ya ng’ombe na kuku huko Marekani ili kuongeza mauzo, walifanikiwa sana..
Yah , angalia documentary moja inaitwa Food inc .
 
Anabolism ya wanyama na binadamu haifanani per se..Mfano ng'ombe anaweza kupata essential amino acids kutoka kwenye majani lakini binadamu hatoweza kula majani hayohayo na kutengeneza hizo assential amino acids..inampasa atumie intermediate (ndo huko kula nyama na maziwa,mayai n.k)..Hii inaletwa na kuwa na enzyme wanaoweza kufacilitate hili..

mfano,enzyme wa kuvunja cellulose yupo kwa ng'ombe lakini kwa binadamu hayupo
Umejibu vyema ndio hizo natural resource hzo cellose ng'ombe anazaliwa nazo nan alimwekea io sio kaz yetu si tunachojua anazo
 
Moderator futen na huu uzi pia ni utopolo mtupu maswal ya namna hii ukiwaza unaweza kujiona genius kumbe hamna kitu

Kuna vitu ni natural resource kuhoj vimetokea wap na nan kaviweka ni Kupoteza nda wa wadau
Doh !!
Watu wapo mars huko leo hii wakitafiti haya yasio na maana kwa dunia ya leo , bali ijayo wewe unaona ni bora kupumzisha akili!!!
FYI tafiti husaidia hata uvumbuzi wa vitu vingine , unaona hilinswali ni la kijinga lakini linaweza husababisha uvumbuzi wa kitu kingine kabisa
Leo hii tunajivunia Abs (anti lock brake ) kama moja ya safety feature kwenye magari , lakini walivumbua watu wa ndege ya concord walipokuwa wanatafuta mbinu za brake
 
Nje ya mada

Wanasemaga kama mtu kanywa sumu eti akipewa maziwa anapona.

Hili lina ukweli wowote?
Inabidi mrudi shuleni tunaona uvivu kuwadadavulia maana hamtaelewa,
Mlikimbilia HKL na HGE leo hii nikikuambia kuhusu Protein synthesis, codons, ribosomes, amino acids utaelewa wewe?

Nikikuambia kuhusu DNA na RNA utaelewa wewe?
Nikikuambia kuhusu keratin na collagen utaelewa?

Nikikuambia kuhusu receptors utaelewa?
Nikikuambia kuhusu antagonism na synergism utaelewa?

Kama huelewi chochote kwenye hayo maswali usijisumbue kuuliza tena rudi shuleni au potezea huu uzi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Jaribu kula Majani kama ng'ombe uone kama utaishi (simaanishi vegetables) namaanisha majani grass..., au mpe ng'ombe nyama uone atafikia wapi...

Ngombe ni ruminants na tumbo lao lina microbacteria ambao wanasaidia kwenye digesion kufanya hayo majani ambayo ukila wewe ni uchafu ila kwa ngombe ni tofauti...,

Hii yote ni kufacilitate ecosystem ndio maana kuna herbivores, carnivores na omnivores.., wanyawa wote wangekuwa wanakula nyama mwisho wa siku animals kama species wangetoweka..., nature has got to balance Its Nature
 
Maziwa ya mama yana virutubisho vyoote, kwanini chakula kikuu kisiwe maziwa ya mama tu maisha yetu yoote.
Hapa fikirishi... Mtoto anakua kwa kutegemea maziwa ya mama.... akiwa mkubwa anatumia maziwa na ngombe kwamba ndama anapokwa chakula chake ..kwanini mtu mzima kunywa maziwa ya ng'ombe ni sawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom